Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

My Kayumbaaaaaaaaaaa!Love you mdogo wangu!
Lots of kisses!

Wifi yako leo ndo kanikumbusha kuwa kuna bss. Basi alivyosema tu vile nikwamwambia namuombea Kayumba ashinde... na imekuwa
 
Sijaipenda it was for Fonabo. BUT majudge wanapiga Kiki mpaka ushawishi unaonekana wazi. Fenabooo anajua mziki bhana acheni masikharaaaa
 
Ntakuforwadia kesho..Najua kayumba kakulewesha.huwezi kusoma

Afadhali, alafu kameniumiza sidhani kama nitakuwa shabiki wake, hawezi kunifanyia sifa hadharani hivihivi alafu nimumshabikie.
 
My Kayumbaaaaaaaaaaa!Love you mdogo wangu!
Lots of kisses!

Utabiri Wangu Umetimia Kuwa KAYUMBA JUMA a.k.a Dr. MAGUFULI Ataibuka Mshindi Rasmi Wa BSS Na Kweli Imekuwa Hivyo Baada Ya KUMGARAGAZA Vibaya Mno FONABO a.k.a LOWASSA. Sasa Hakuna Tena UBISHI Kuwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Atakuwa Mshindi Wa Urais Hapo Tarehe 25, October 2015. Sijui Ni Kwanini au Nina KARAMA Gani Mwenyezi Mungu AMENITUNUKU Kwani KILA NIKITABIRI au NIKIBASHIRI Jambo au Kitu HUTOKEA au HUWA KWELI 100%. Akhsante Mungu.
 
Hahha nashukuru, maana kwa u - team wa kipindi kile ningevunjiwa screen ya simu kwa vichambo tu

Hamna hilo uliloliongelea hapo lilikuwa linajulikana na wote, sema wangeingizia na vitu ambavyo hataaa havihusiani na hicho ulichoongea, kama siasani tu kule sasahivi.
 
Hongera Kayumba,

All da best Fonabo unajua sana we Jamaa sema BSS hawatafuti kipaji wanatafuta mwenye Nyota,

Usikate tama bro
Much love.
 
Huu ni mwaka wangu,Yanga walichukua kombe la ligi kuu,Arsenal wakabeba makombe,Yanga ikaifunga Simba,Arsenal ikaifunga Man U...
Kayumba kashinda bado Lowassa nifunge mwaka.
Happyyyyyyyy......
 
Utabiri Wangu Umetimia Kuwa KAYUMBA JUMA a.k.a Dr. MAGUFULI Ataibuka Mshindi Rasmi Wa BSS Na Kweli Imekuwa Hivyo Baada Ya KUMGARAGAZA Vibaya Mno FONABO a.k.a LOWASSA. Sasa Hakuna Tena UBISHI Kuwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Atakuwa Mshindi Wa Urais Hapo Tarehe 25, October 2015. Sijui Ni Kwanini au Nina KARAMA Gani Mwenyezi Mungu AMENITUNUKU Kwani KILA NIKITABIRI au NIKIBASHIRI Jambo au Kitu HUTOKEA au HUWA KWELI 100%. Akhsante Mungu.

huu nao ni upongo
 
Utabiri Wangu Umetimia Kuwa KAYUMBA JUMA a.k.a Dr. MAGUFULI Ataibuka Mshindi Rasmi Wa BSS Na Kweli Imekuwa Hivyo Baada Ya KUMGARAGAZA Vibaya Mno FONABO a.k.a LOWASSA. Sasa Hakuna Tena UBISHI Kuwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Atakuwa Mshindi Wa Urais Hapo Tarehe 25, October 2015. Sijui Ni Kwanini au Nina KARAMA Gani Mwenyezi Mungu AMENITUNUKU Kwani KILA NIKITABIRI au NIKIBASHIRI Jambo au Kitu HUTOKEA au HUWA KWELI 100%. Akhsante Mungu.

Huu ni mwaka wa vita baina yetu,hapa BSS tulikuwa pamoja.
Kwenye Simba na Yanga nimeshakugaraza bado October nikupige KO.
 
Utabiri Wangu Umetimia Kuwa KAYUMBA JUMA a.k.a Dr. MAGUFULI Ataibuka Mshindi Rasmi Wa BSS Na Kweli Imekuwa Hivyo Baada Ya KUMGARAGAZA Vibaya Mno FONABO a.k.a LOWASSA. Sasa Hakuna Tena UBISHI Kuwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli Ndiyo Atakuwa Mshindi Wa Urais Hapo Tarehe 25, October 2015. Sijui Ni Kwanini au Nina KARAMA Gani Mwenyezi Mungu AMENITUNUKU Kwani KILA NIKITABIRI au NIKIBASHIRI Jambo au Kitu HUTOKEA au HUWA KWELI 100%. Akhsante Mungu.

kwani wewe ndo GYETAMCINE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom