Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Mie nilikuwa team walter alafu rafiki yangu team wababa jamani ile siku nadhani majirani walituchukia maana sio kwa kelele zile.

Aisee!! Nimeona this year top5 inasimamiwa na babu tale sijui, alafu pesa hawatopewa zote zingine zitatumika kuwasaidia na kuwasimamia angalau wafanye la maana.
Hahahaha team makelele oyeee. Daah basi watakuwa wamewafanyia jambo la maana sana kuwakabidhi kwa babu tale. Naamini tutaendelea kuwaona kwenye game
 
Daaah basi wamefanya kitu mbaya sn, that was grt project
Ndo nilivyosikia sikia hivyo. Wanadai washindi wengi after TPF hawafurukuti tena, so it's like hakuna mziki unaossuportiwa. Maana washindi hata hawaendelei na mambo ya mziki
 
Hahahaha team makelele oyeee. Daah basi watakuwa wamewafanyia jambo la maana sana kuwakabidhi kwa babu tale. Naamini tutaendelea kuwaona kwenye game

Maana haiwezekani wapatikane kwa gharamaaaa alafu vipaji vipotee tu hivi hivi, kwakweli kunakuwa hakuna maana tena.

Ndo nilivyosikia sikia hivyo. Wanadai washindi wengi after TPF hawafurukuti tena, so it's like hakuna mziki unaossuportiwa. Maana washindi hata hawaendelei na mambo ya mziki

Daaah ila ni kweli aisee, its like huwa wanakwenda kushiriki ili wapate pesa alafu basi.
 
Mie nilikuwa team walter alafu rafiki yangu team wababa jamani ile siku nadhani majirani walituchukia maana sio kwa kelele zile.

Aisee!! Nimeona this year top5 inasimamiwa na babu tale sijui, alafu pesa hawatopewa zote zingine zitatumika kuwasaidia na kuwasimamia angalau wafanye la maana.

Yeah...Safari hii naona wamekuja tofauti,nahisi itasaidia kama watakuwa serious

Walter ndo mshindi ninayemkubali zaidi miongoni mwa wote waliopita
 
Nakumbuka mwaka fulani waliwahi kupewa fursa za kutunga nyimbo zao wakajajiwa kwalo, ila sijaiona tena hii, unakuta mtu ni muimbaji mzuri ila sio mtunzi hapo sasa, lazima upate changamoto, lasivyo upate management nzuri itakayokusaidia kupata watunzi kama kina Linah tu, ni waimbaji ila wanakiri kabisa hawawezi kutunga.

Tatizo bongo swala la mtu kutungiwa nyimbo watu wanalichukulia tofauti..Mtu akitungiwa nyimbo anahisi jamii itamuona hajui au kaishiwa,Ndo mana hata baadhi wanaotungiwa uwa hawatoi credit kwa mtunzi,Utasikia tu minong'ono mtaani watu wakisema ila muhusika kwenye media wala hazungumzi..

Watu wakilielewa hili litasaidia sana kuinua sanaa..Tutapata mziki mzuri zaidi na Watunzi nao watapata chochote kitu
 
Jamani naombeni mwenye kujua ratiba ya marudio ya BSS aniambie maana umeme huu nina wiki ya 3 sijaangalia.
Vipi my dearest Kayumba Juma bado yupo?
 
Jamani naombeni mwenye kujua ratiba ya marudio ya BSS aniambie maana umeme huu nina wiki ya 3 sijaangalia.
Vipi my dearest Kayumba Juma bado yupo?

kayumba all the way to the trophy, unaweza kuichek jumamosi saa nane
 
kayumba all the way to the trophy, unaweza kuichek jumamosi saa nane

Oyooooo,I like him jamani.
Na namsapoti huyu mtoto Mungu amsaidie ashinde maana nitafurahi sana.
Asante sana,ile ya katikati ya week huijui?
 
Daddy angel mary lazima awepo. Nahisi hapo kwa jackline kakengi atakuwepo angel mary. Hao wengine wapo exactly as I predicted. Daddy na douta tuna same taste

Mule mule yani me ningetupa kule huyo Jackie na Lupenza hapo anaingia mtoto mzuri Angelmary Kato na Doris
 
Jamani naombeni mwenye kujua ratiba ya marudio ya BSS aniambie maana umeme huu nina wiki ya 3 sijaangalia.
Vipi my dearest Kayumba Juma bado yupo?
Marudio clouds tv ni jumanne saa 5 asubuhi ( hii sina uhakika nayo sana) na Alhamisi Saa 8 mchana. Your dearest kayumba yupo anafanya yake kama kawaida
 
Sure..Emmy pia nilikuwa namkubali...Hawa bss baada ya mashindno sidhani kama wanajishughulisha na mshindi..Ila wangekuwa wanajitolea kuwasimamie wangekuwa wanafika mbali sana...Coz Rita,Salama na Master wana connections nyingi sana kwenye soko la mziki bongo..Sema ndo hivyo baada ya mashindano nadhani wanawadamp tu...Mtu kama walter angekuwa na management nzuri angekuwa mbali sana now

Kwa yule kiazi walter.wamuache tu Lile taji lilikua la Salma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom