Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Vibaya mno douta...Dogo anajitahidi..Ntakutumia vocha umpigie kura lol
Yani huwa sina tabia ya kupiga kura but kwa kayumba ntampigia tu aisee. Fanya kutuma tu na hiyo vocha kabisa kura ziwe nyingi zaidi teh
 
Teh teh..Douta unachange namba deile..Sijui wanakusumbua sana
 
Daddy the show is on. Nitabirie top 5 yako
Douta huku kijijini nilipo tv stations hazikamati..Uwa nasubiri mpaka waupload utube ndo nicheki
Ila top 5 yangu ni
1-Kayumba Juma
2-Nassib Fonabo
3-Steve Lupenza
4-Jackline Kakengi
5-Frida Amani....Nipe yako
 
Douta huku kijijini nilipo tv stations hazikamati..Uwa nasubiri mpaka waupload utube ndo nicheki
Ila top 5 yangu ni
1-Kayumba Juma
2-Nassib Fonabo
3-Steve Lupenza
4-Jackline Kakengi
5-Frida Amani....Nipe yako
Daddy angel mary lazima awepo. Nahisi hapo kwa jackline kakengi atakuwepo angel mary. Hao wengine wapo exactly as I predicted. Daddy na douta tuna same taste
 
Daddy angel mary lazima awepo. Nahisi hapo kwa jackline kakengi atakuwepo angel mary. Hao wengine wapo exactly as I predicted. Daddy na douta tuna same taste
Teh teh..Ndo mna wala sihitaji kupima DNA kutambua kuwa we ni my douta lol!!! Ila nadhani Wataweza kutaka kumuacha mmoja kati ya Frida na Angel..
 
Teh teh..Ndo mna wala sihitaji kupima DNA kutambua kuwa we ni my douta lol!!! Ila nadhani Wataweza kutaka kumuacha mmoja kati ya Frida na Angel..
No way angel na frida watakuwepo wote. I believe so
 
Pouwa..Ngoja tuone..Nasubiri ripoti kutoka kwako

Eeeh we Beba tu box mie nile hahahhah. Top 5 ni
1. Naseeb
2.kelvin gerson
3.kayumba
4. Jackline
5. Angel mary

Sijaamini kama Steve lupenza katoka. Afu daddy you are so smart kuhusu frida na angel mary. Wamemdrop frida wangu
 
Daah frida na Steve wameniuma khaaa, nashukuru tu siku hizi silii hovyo teh
 
Eeeh we Beba tu box mie nile hahahhah. Top 5 ni
1. Naseeb
2.kelvin gerson
3.kayumba
4. Jackline
5. Angel mary

Sijaamini kama Steve lupenza katoka. Afu daddy you are so smart kuhusu frida na angel mary. Wamemdrop frida wangu
daaa!! steve kutoka sikutegemea..Ameharibu nn?
 
Hamna daddy kaimba poa tu mbona. Kev kwa Steve hagusi hata, jack ndo kabisa na leo aliimba taarabu
Hilo mbona hata viziwi wanajua..Mana hata kama mtu hausikii ila show ya steve itakupa burudani..Kev labda kura zimemuokoa ila steve alistahili
 
Ooh yeah kayumba moja. Nilikuwa namuhofia sana Steve but now labda naseeb tu.
Watampa Kayumba tu..Dogo anajitahidi..Na ukiachia hivyo kuna mkono wa fela pale nadhani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom