Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mungu amsaidie tu na kumuinua. Anajitahidi sana kayumbaaisee jana kayumba kakimbiza mbaya, hasa pale aliponipigia kiduku fulani, may God bless his efforts
Mungu amsaidie tu na kumuinua. Anajitahidi sana kayumbaaisee jana kayumba kakimbiza mbaya, hasa pale aliponipigia kiduku fulani, may God bless his efforts
Hahaha Walter alikuwa anakastyle anaimba wee afu anapeleka mbele kasura kake na kunyanyua kamguu
Boss salma hakubebwa, the kid is talented basi tu Walter ana nyota yake
Mungu amsaidie tu na kumuinua. Anajitahidi sana kayumba
Aah inagoma daddy, hilo chaka nililopo net ipo low sanaone of my best kutoka kwa walter..Hasa ukimuona anavyocheza ndo utazidi kumpenda
Teh jamani kayumba ana "kibali" machoni pa watu wengi. Mungu amsaidie ashinde tuKayumba..huwa nataman hadi kulia akianza kuimba yule mtoto. Ndio mshindi wangu yule..
Teh jamani kayumba ana "kibali" machoni pa watu wengi. Mungu amsaidie ashinde tu
Hahaha naseeb, frida, angel wapo vizuri ujue. Ila mwaka ni wa kayumba tuTangu nianze kuangalia yeye ndo ananikosha na yule Doris nlikuwa namkubali pia. Ila sio mbaya,kwa waliobaki hana mshindani,teh teh.
Teh si bora hata chunya, yani Sielewi hata kama Nipo Tanzania au wapiDouta umerudi tena Chunya??
Hahaha naseeb, frida, angel wapo vizuri ujue. Ila mwaka ni wa kayumba tu
Ndo mana nilisema mi na familia yangu tunamsapoti Kayumba..Nilikujumuisha na ww mamito
Aah hapo mwishoni itabidi nicheki marudio vizuri, channel zilikata. Labda comments za judges zilimfanya ajiamini. Ila frida alitia huruma pale mwishoni mwishoniAngel Mary simkubali..muzik anaoimba sio mambo yangu japo yupo vizuri. Halafu mbona kama Jana alikuwa anajiamini sana? Wenzake wanatetemeka yeye anatabasamu kwa mbaaaali,au mimi tu?
Kayumba..huwa nataman hadi kulia akianza kuimba yule mtoto. Ndio mshindi wangu yule..
Hahaa nilijua umenihesabia..na vile anavyoinyanyua mic mi ndio nakufa kabisaaa. Tumpe tu jaman.
Hahahaaa umetisha aisee.
Mimi nampenda since day one,na alinimaliza ile siku aliyoimba Ada yake Mr. Flavour coz ule wimbo naupenda mnoooo!
Sasa alivyoupatia sasa?Nilitamani ingekuwa fainali ashinde tu kwakweli.
Tumpiganie kijana wetu.
Hahahaaaa dah aisee unanichekesha sana.