Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Tujuane mapema basi katotoo..Mi na familia yangu kura yetu kwa Kayumba..

Cc Heaven Sent

Mie nilikuwa namkubali sana yule umy aliyeondoka last week, now nimebaki na Kayumba tu, ananikumbusha Walter Chilambo daah!

Hivi vipaji vya bss vinavyopatikanaga kwa gharama kwanini vinapotea tuuuuu kizembe zembe hivi!! Kipaji cha Walter hakikua cha kupotea kile
 
Last edited by a moderator:
Especially washiriki wa dar ndo wenye vituko wengi. Auditions wanajitokeza wengi sijui kuuza tu sura. Yani huwa nacheka sana khaaa

Hakuna kipengele kitamu jamani kama auditions, pale ndio penye uhondo woteee, unacheka hadi basi, hata tpf nilikuwaga napenda auditions zaidi.

Alafu nimekumbuka hivi project ya TPF ndio basi tena!??
 
Hakuna kipengele kitamu jamani kama auditions, pale ndio penye uhondo woteee, unacheka hadi basi, hata tpf nilikuwaga napenda auditions zaidi.

Alafu nimekumbuka hivi project ya TPF ndio basi tena!??
Aah auditions ndo huwa burudani zaidi. Unaweza kucheka hadi kupaliwa. Nahisi wengine wanafanyaga tu makusudi kwenda kuchekesha

TPF sijasikia chochote kipya. Nasikia tusker walizindua project nyingine inaitwa "tusker twende kazi", sikufatilia hata kujua kuna nini huko. Though uvumi upo kwamba TPF imepigwa chini
 
Hata mimi huku daaah hadi sikumbukagi kama kuna jukwaa la hivi.



Oooh afadhali, hapo tu ndipo ninapokupendea.

Hata mimi napenda auditions zaidi, yaani nachekaga kama mwehu, najiuliza hivi watu wanaendaga wakiwa serious kabisaaa au ni kuchekesha tu wenzao.
Mi uwa wananichekesha sana..Na zaidi nikifikiria kuwa mtu kasimama kwenye foleni zaidi ya masaa 10 zen anaingia ndani anafanya vituko,hapo no nachoka zaidi..Kweli town kuna watu hawana kazi aisee
 
Mie nilikuwa namkubali sana yule umy aliyeondoka last week, now nimebaki na Kayumba tu, ananikumbusha Walter Chilambo daah!

Hivi vipaji vya bss vinavyopatikanaga kwa gharama kwanini vinapotea tuuuuu kizembe zembe hivi!! Kipaji cha Walter hakikua cha kupotea kile

Teh kayumba oyeee. Aah afu emmy sikutegemea kama angetoka mapema hivyo. Jamani fainali ya kina Walter sio kwa kupiga makelele yale, maana best friend angu alikuwa team wababa mwee

Walter yupo on and off kwenye game. Niliona kama ana wimbo mpya but nadhani haujakiki sana. Mashindano haya washiriki wanacopy na kupaste nyimbo. Wakishashinda sasa kusimama kwa miguu yao ni tatizo. Afu Sidhani kama kunakuwa na management ya kuwafatilia na kuwasimamia baada ya ushindi wao. Ni sawa tu na TPF, kina alpha sijui hope, Ruth, Davis hata siwasikii sana. Bora hata Amos na Josh na msechu wetu
 
Hahaha me tumetoka kugombana na my best friend eti hampendi frida mweee, nimemwambia tutapingua urafiki teh

Angel yupo vizuri, afu na ule ushape pale kati teh, ndo maana maza ananuna. Frida ni kama mgumu fulani hivi as wana hip hop walivyo ndo maana mbwembwe hakuna, while angel ana tumbwembwe fulani. Ila I wish them both the best luck. Angalau this year wana hip - hop wameleta changamoto zaidi kwenye bss
Yeah sure..Frida aliingia kigumu zaidi..Atleast siku hizi anabadilika kidogo...Angel ana mashauzi flani hivi ya kuvutia..Nimekapenda kwakweli..Ila kwa kuchana Frida yuko juu kwa Angel
 
Yeah sure..Frida aliingia kigumu zaidi..Atleast siku hizi anabadilika kidogo...Angel ana mashauzi flani hivi ya kuvutia..Nimekapenda kwakweli..Ila kwa kuchana Frida yuko juu kwa Angel
Eeh endelea tu kukapenda teh. Frida ni habari nyingine, Afu she is too simple na kanajiamini
 
Mie nilikuwa namkubali sana yule umy aliyeondoka last week, now nimebaki na Kayumba tu, ananikumbusha Walter Chilambo daah!

Hivi vipaji vya bss vinavyopatikanaga kwa gharama kwanini vinapotea tuuuuu kizembe zembe hivi!! Kipaji cha Walter hakikua cha kupotea kile
Sure..Emmy pia nilikuwa namkubali...Hawa bss baada ya mashindno sidhani kama wanajishughulisha na mshindi..Ila wangekuwa wanajitolea kuwasimamie wangekuwa wanafika mbali sana...Coz Rita,Salama na Master wana connections nyingi sana kwenye soko la mziki bongo..Sema ndo hivyo baada ya mashindano nadhani wanawadamp tu...Mtu kama walter angekuwa na management nzuri angekuwa mbali sana now
 
Hakuna kipengele kitamu jamani kama auditions, pale ndio penye uhondo woteee, unacheka hadi basi, hata tpf nilikuwaga napenda auditions zaidi.

Alafu nimekumbuka hivi project ya TPF ndio basi tena!??
Nina auditions kibao za mashindano ya dizaini hiyo..Uwa nikijisikia kucheka naziangalia tu...Tpf sijui nn tatizo aisee
 
Teh kayumba oyeee. Aah afu emmy sikutegemea kama angetoka mapema hivyo. Jamani fainali ya kina Walter tulikuwa chuo sio kupiga makelele maana best friend angu alikuwa team wababa mwee

Walter yupo on and off kwenye game. Niliona kama ana wimbo mpya but nadhani haujakiki sana. Mashindano haya washiriki wanacopy na kupaste nyimbo. Wakishashinda sasa kusimama kwa miguu yao ni tatizo. Afu Sidhani kama kunakuwa na management ya kuwafatilia na kuwasimamia baada ya ushindi wao. Ni sawa tu na TPF, kina alpha sijui hope, Ruth, Davis hata siwasikii sana. Bora hata Amos na Josh na msechu wetu
Ila mashindano haya mara nyingi Waandaaji huwa wanazingua...Mshindi uwa hathaminiwi kabisa baada ya mashindano..Niliwahi kumsikia Hope kwenye interview akilalamika..Hata zawadi wanapewa kimagumashi tu..Vivyo hivyo Jumanne Idd nae aliwahi kulalamika kuhusu zawadi
 
Ila mashindano haya mara nyingi Waandaaji huwa wanazingua...Mshindi uwa hathaminiwi kabisa baada ya mashindano..Niliwahi kumsikia Hope kwenye interview akilalamika..Hata zawadi wanapewa kimagumashi tu..Vivyo hivyo Jumanne Idd nae aliwahi kulalamika kuhusu zawadi
Yani wao wakikupa tu zawadi nitolee. Utajijua mwenyewe uendako. Bora hata clouds yale Mashindano yao ya super nyota yameleta matunda Eg. Ruby na young killer. Wale wana management nzuri so vipaji havipotei
 
Walter yupo on and off kwenye game. Niliona kama ana wimbo mpya but nadhani haujakiki sana. Mashindano haya washiriki wanacopy na kupaste nyimbo. Wakishashinda sasa kusimama kwa miguu yao ni tatizo. Afu Sidhani kama kunakuwa na management ya kuwafatilia na kuwasimamia baada ya ushindi wao.
Hiyo ni changamoto pia..Ingekuwa vyema wakishafika hatua flani washiriki wangekuwa wanajajiwa kwa uwezo wao wa kutunga pia..

Ila still swala la management ni changamoto kubwa..Kuna baadhi ya washindi baada ya Bss walianza fresh tu kwa kutoa nyimbo zao na zikafanya vizuri ila baada ya muda hawasikiki tena..

Naona safari hii wamejipanga kidogo..Ngoja tuone itakuwaje
 
Yani wao wakikupa tu zawadi nitolee. Utajijua mwenyewe uendako. Bora hata clouds yale Mashindano yao ya super nyota yameleta matunda Eg. Ruby na young killer. Wale wana management nzuri so vipaji havipotei
Jumanne Idd anakwambia hata mpunga uliotangazwa sio ndo aliopewa..Hope nae wa TPF aliwahi kusema hivyo...Yeah clouds wanajitahidi kulinda mazao yao..
 
Aah auditions ndo huwa burudani zaidi. Unaweza kucheka hadi kupaliwa. Nahisi wengine wanafanyaga tu makusudi kwenda kuchekesha

TPF sijasikia chochote kipya. Nasikia tusker walizindua project nyingine inaitwa "tusker twende kazi", sikufatilia hata kujua kuna nini huko. Though uvumi upo kwamba TPF imepigwa chini

Daaah basi wamefanya kitu mbaya sn, that was grt project
 
Mi uwa wananichekesha sana..Na zaidi nikifikiria kuwa mtu kasimama kwenye foleni zaidi ya masaa 10 zen anaingia ndani anafanya vituko,hapo no nachoka zaidi..Kweli town kuna watu hawana kazi aisee

Mtu anapoteza muda wote huo huku akijijua kabisaaa hana kipaji, au ndio zile za vijiweni wakishavuta wanaimbiana na kupeana moyo kuwa wanaweza, basi mtu anakurupuka tu kwenda! Usichezee nguvu ya bangi wewe!
 
Teh kayumba oyeee. Aah afu emmy sikutegemea kama angetoka mapema hivyo. Jamani fainali ya kina Walter sio kwa kupiga makelele yale, maana best friend angu alikuwa team wababa mwee

Walter yupo on and off kwenye game. Niliona kama ana wimbo mpya but nadhani haujakiki sana. Mashindano haya washiriki wanacopy na kupaste nyimbo. Wakishashinda sasa kusimama kwa miguu yao ni tatizo. Afu Sidhani kama kunakuwa na management ya kuwafatilia na kuwasimamia baada ya ushindi wao. Ni sawa tu na TPF, kina alpha sijui hope, Ruth, Davis hata siwasikii sana. Bora hata Amos na Josh na msechu wetu

Mie nilikuwa team walter alafu rafiki yangu team wababa jamani ile siku nadhani majirani walituchukia maana sio kwa kelele zile.

Aisee!! Nimeona this year top5 inasimamiwa na babu tale sijui, alafu pesa hawatopewa zote zingine zitatumika kuwasaidia na kuwasimamia angalau wafanye la maana.
 
Sure..Emmy pia nilikuwa namkubali...Hawa bss baada ya mashindno sidhani kama wanajishughulisha na mshindi..Ila wangekuwa wanajitolea kuwasimamie wangekuwa wanafika mbali sana...Coz Rita,Salama na Master wana connections nyingi sana kwenye soko la mziki bongo..Sema ndo hivyo baada ya mashindano nadhani wanawadamp tu...Mtu kama walter angekuwa na management nzuri angekuwa mbali sana now

Madam Rina na Master J waliliona hilo ndio maana unaona wale top 5 wametafutiwa management, na mshindi hatopewa fedha zote zingine zitatumika kuendeleza vipaji vyao
 
Hiyo ni changamoto pia..Ingekuwa vyema wakishafika hatua flani washiriki wangekuwa wanajajiwa kwa uwezo wao wa kutunga pia..

Ila still swala la management ni changamoto kubwa..Kuna baadhi ya washindi baada ya Bss walianza fresh tu kwa kutoa nyimbo zao na zikafanya vizuri ila baada ya muda hawasikiki tena..

Naona safari hii wamejipanga kidogo..Ngoja tuone itakuwaje

Nakumbuka mwaka fulani waliwahi kupewa fursa za kutunga nyimbo zao wakajajiwa kwalo, ila sijaiona tena hii, unakuta mtu ni muimbaji mzuri ila sio mtunzi hapo sasa, lazima upate changamoto, lasivyo upate management nzuri itakayokusaidia kupata watunzi kama kina Linah tu, ni waimbaji ila wanakiri kabisa hawawezi kutunga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom