Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,331
- 176,111
Mie nilikuwa namkubali sana yule umy aliyeondoka last week, now nimebaki na Kayumba tu, ananikumbusha Walter Chilambo daah!
Hivi vipaji vya bss vinavyopatikanaga kwa gharama kwanini vinapotea tuuuuu kizembe zembe hivi!! Kipaji cha Walter hakikua cha kupotea kile
Last edited by a moderator: