Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Yeah Inawezekana kura zimembeba + ile style yake ya kumix vionjo vya diamond, kiba et al. But habari nzuri zaidi ni kuwa he is not a threat to our kayumba. Tupige tu kura ili Tusije tukalalamikaHilo mbona hata viziwi wanajua..Mana hata kama mtu hausikii ila show ya steve itakupa burudani..Kev labda kura zimemuokoa ila steve alistahili
Guest judge leo alikuwa diamond, kamwambia kayumba kuwa anasikia sana sifa zake mtaani, nikasmile