Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,334
- 176,127
Tatizo aina ya muziki wake haupendwi na wabongo sista, kifupi muziki wake hauburudishi, ila bila ushabiki ndo ana kipaji kuzidi wote
Daaaah, inaniuma basi tu.
Tatizo aina ya muziki wake haupendwi na wabongo sista, kifupi muziki wake hauburudishi, ila bila ushabiki ndo ana kipaji kuzidi wote
Kweli. Nimewachoka.. wanaimba kama wanapiga story za mjomba mpoto
Dah!wana hip hop hatuna chetu tena!
Fonabo x Kayumba kazi ipo
Ofcoz kayumba nimempenda since day one mie na wifi yako
k mamayo am going to f****k anybody
k mamayo am going to f****k anybody
I agree with you
Na muziki wetu ndivyo ulivyo, wenye vipaji vyao hata hawatusui ila wajanja wajanja tu ndio wanapaa, mie nimejikuta naumia maana naona kama hashindi!! Aaaaaagggggrrrrrr!
Majina mfukoni kama jk