as1987
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 1,256
- 598
Kayumba pls imba ule wimbo wa Ada wa Mr. Flavour,ukiimba huu I swear wewe ndio mshindi....otherwise lolote linaweza tokea.
tuko pamoja dogo aimbe Adaa asiimbe mayomoto yake.....
Kayumba pls imba ule wimbo wa Ada wa Mr. Flavour,ukiimba huu I swear wewe ndio mshindi....otherwise lolote linaweza tokea.
Ndo kwanza unaipalilia
Kuna wimbo unaitwa the banger .Huyo Runtown sijui toka naija kaimba wimbo gani?
I wish them all the best in their carriers Frida & Fonabo, they have bright future
Huyu mcongo anajua sana
Huo wimbo ni mgumu na pia ni wa taratibu sidhan kama utamsaidi hasa hatua hii ya final
Huyu mcongo anajua sana
nimedilt fasta hyo coment
nimetukana hapa nilipo
i love fonabo
ALAFU NIMEBET PESA MING HAPO
Me naomba aimbe Ukimwona ya Christian bellaAnaupatia sana huo
Kayumba atatoboa, nahitaji kumwona fonabo akichukua hela , thats ma wish
nimedilt fasta hyo coment
nimetukana hapa nilipo
i love fonabo
ALAFU NIMEBET PESA MING HAPO
Naasi kambi ya Kaskazini jamani,ukabila pembeni......Kayumba ndiye mshindi wangu.
hahahbg 😂😂😂😂Wacongo level nyingine. Hivi huwa wanafanya Congo Star Search ... CSS