Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Acheni kukumbushana Machungu jamani,

lkn Salma siku zile kamshirikisha Linex jamaa alichangia sana kumnyima Ushindi

Saaaaana! yule.Linex kiazi af kutoka hapo aliponda ooh ana uwezo mdogo kashindwa kubeba wimbo! mbafu... wakati yeye na Salma binti alikua mkali.zaidi yake ila ndo underground tu
 
Huu ni mwaka wa Mensen Selecter as a producer,kapiga beats za ukweli sana kama huu wimbo wa Ya Moto Cheza kwa madoido.....

Kweli kabisa nyimbo zke nying hits alaf beats zake ziko tofauti sana zina mizuka balaa"
 
Akibaki Kayumba na Fonabo, mshindi ni Fonabo. Kayumba ana sauti nzuri, anajua kuentertain lakini level zake mwisho Malaika band au yamoto. Wa hapa hapa tu.

watu wanampenda Kayumba ila Fonabo hana nyota japo anajua...levo zake ni za dunia ingine ila hapati
 
hakuwa na nyota sijui why watu hawakumuelewa awali
nimeplay part yangu kwa fonabo

nimepigia debe instagram na kuwahamasisha watu wampgie kura
ila ashnde asishnde
JAMAA AKIPATA MANAGEMENT NZURI atakua star motoo

Na muziki wetu ndivyo ulivyo, wenye vipaji vyao hata hawatusui ila wajanja wajanja tu ndio wanapaa, mie nimejikuta naumia maana naona kama hashindi!! Aaaaaagggggrrrrrr!
 
Aisee huu mtepesho sio, ukiguswa tu huoooooooo, Shame at its best. Sipendi kabisa wanakoelekea hawa madogo, walianza vizuri sanaaa,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom