Usinikumbushe Salma aisee.. yule alistahili kuchukua taji sema basi tu kwenye maisha sometimes bahati zinahusika
kuliko belaFonabo akishinda hzo pesa atenge m10 anunulie vyombo vya bendi. Atapiga pesa
Ni mbayaaaaaaaaaa
Nahisi management ya kina talle itawasaidia sana. Si Unajua wale ndo wazee wa kaziMi alivyoingia top 5 tu nilifurahi..Hope tutaendelea kumsikia
Last selection of song will determine the winner kati ya Fanabo na Kayumba,
Kura na majudge piaFull package kwakweli, hivi kura zetu pekee ndio zinadetermine mshindi? Judges je?
Kayumba akitoka nazima tv!
Kayumba kama jumanne iddy enzi zile anapagawawisha na nyimbo za 20 percent
Izi zisi yu yuu?? Nimekumiss mpenzi.
Yaani nimejikuta namsahau kayumba ghafla, this dude is goood, alafu ana advantage ya gitaa pia(mwanamuziki)
Asante kwa kunielewa hata mimi yule dada nilikua nampenda sanaAna maisha marefu sana ya muziki. Huyu ni kama dogo salma yule wa zanzibar aliyekuwa na kina Walter chilambo
hakuwa na nyota sijui why watu hawakumuelewa awali
nimeplay part yangu kwa fonabo
nimepigia debe instagram na kuwahamasisha watu wampgie kura
ila ashnde asishnde
JAMAA AKIPATA MANAGEMENT NZURI atakua star motoo
kuliko bela
Sasa wabongo ndo tunapenda hizo style za kayumba. Level za naseeb ni za mbeleAkibaki Kayumba na Fonabo, mshindi ni Fonabo. Kayumba ana sauti nzuri, anajua kuentertain lakini level zake mwisho Malaika band au yamoto. Wa hapa hapa tu.