Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Ana maisha marefu sana ya muziki. Huyu ni kama dogo salma yule wa zanzibar aliyekuwa na kina Walter chilambo

Usinikumbushe Salma aisee.. yule alistahili kuchukua taji sema basi tu kwenye maisha sometimes bahati zinahusika
 
U will play me through the night like the Spanish's guitar all night long.... I will be your song your song.........
 
Fernabo ni full package iliyojitosheleza tofauti na hawa wengine ujanja ujanja wa mjini
Yaah ni kweli mkuu huyu jamaa ni mwanamuziki kabisa bss inabidi waangalie pia hilo maana washindi wengi wa bss wamekuwa wakishinda wanapotea kwenye soko la mziki
 
Huyu Frida kumbe anajua kucheza kikikekike..Mbona alikuwaga anatufanyia makusudi vile

Usinambie kumzikia kote mpaka ukaanzisha thread na kuomba namba juu hukua ukimfatilia nakuona na ukike anauweza!
 
Last selection of song will determine the winner kati ya Fanabo na Kayumba,
 
Daaaaah simu kali hiyo balaa,hongera zao washiriki kwa kuzipata.
 
Izi zisi yu yuu?? Nimekumiss mpenzi.
Yaani nimejikuta namsahau kayumba ghafla, this dude is goood, alafu ana advantage ya gitaa pia(mwanamuziki)
hakuwa na nyota sijui why watu hawakumuelewa awali
nimeplay part yangu kwa fonabo

nimepigia debe instagram na kuwahamasisha watu wampgie kura
ila ashnde asishnde
JAMAA AKIPATA MANAGEMENT NZURI atakua star motoo
 
Fonabo ni muimbaji tu na mpiga chombo ila kayumba ni muimbaji na mtumbuizaji mzuri na pia anaimba nyimbo ambazo watz wengi ambao ndo wapiga kura wanazipenda na kuzielewa tofauti na za Fonabo

Kayumba kama jumanne iddy enzi zile anapagawawisha na nyimbo za 20 percent
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom