Bongo movies...

Bongo movies...

Boonge la jumba wanaishi mme na mke na mlinzi wa geti tu ht housegirl hakuna lkn kila siku safiiii
 
kwenye FAKE PASTOR, kidogo wamejitahidi, SIJUI SABABU KUNA MKONO WA SHIGONGO???
 
Ukute sasa wanapigana..na yale makelele...'hwaaa yaaaa'...mmmh!.

Halafu anayekuja kulipiza kisasi anafika ameshika bastola kisha anaangalia juu au upande huku kamuelekezea mbaya wake bastola..na wanamzoom macho kupata matendo aliyotendewa..ambayo ni kama nusu saa hivi. Na baada ya flash back ya nusu saa bado mbaya wake anakuwa yupo palepale anatetemeka.!

M.E.M.A umeuaaaa!!!! Bwa ha ha ha haaaaaaaaa,
 
Jamani hizi muvi za bongo wangechukua hizi weakness wajirekebishe,
ila hili jukwaa limenifurahisha leo ic.!
 
Jamani hizi muvi za bongo wangechukua hizi weakness wajirekebishe,
ila hili jukwaa limenifurahisha leo ic.!

nimekutafuta sana leo ujue we mtoto!

haya usiku mwema!
good-night-my-love.gif
 
JB anavaa shati moja kwenye movie sita.

Teh! Teh! Teh! Umenivunja mbavu kwakweli imebidi niweke movie yake moja ili kuprove...Hahahahaaa ni kweli aisee, but tumchukulie poa jamaa size zake za nguo ni design "PEPE KALE" ss atazipata wp za kuchange kila wakati??
 
Teh! Teh! Teh! Umenivunja mbavu kwakweli imebidi niweke movie yake moja ili kuprove...Hahahahaaa ni kweli aisee, but tumchukulie poa jamaa size zake za nguo ni design "PEPE KALE" ss atazipata wp za kuchange kila wakati??

hahahaaa.. kuna bingwa mmoja(name with held) tangu anunue ka OPPA, basi hakodi tena magari... movie zote anatumia gari hilo hilo tu..
 
ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.

jambazi anavua viatu mlangoni
 
Teh! Teh! Teh! Umenivunja mbavu kwakweli imebidi niweke movie yake moja ili kuprove...Hahahahaaa ni kweli aisee, but tumchukulie poa jamaa size zake za nguo ni design "PEPE KALE" ss atazipata wp za kuchange kila wakati??

Umetizama moja au sita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom