Bongo movies...

Bongo movies...

Ni katika bongo movies:
1. Majeruhi na maiti zinabebwa kwa mikono mitupu.
2. Maiti zinatetemeka macho
3. Ukitaka kucheka zaidi angalia scene za kipelelezi na za kimahakama.
4. Aliyepigwa risasi ana damu kama sample ya kupimia malaria.
5. ...endelezeni wenyewe mi bado naangalia.

jambazi lazima livae koti la mvua au suti na miwani,Dar na jua lote hili?afu linashika kibastola cha watoto,kinalia kama ubao umeangushwa paaa!
 
Bunduki hazina silencer lakini mlio wake sasa...kama vitoy.
 
Sababu ya kuigiza kwenye nyumba za watu, jambazi anavua viatu ndio anaingia kufanya ubaradhuli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom