Bomu lilirushwa likaangukia hapa

Bomu lilirushwa likaangukia hapa

Inasikitisha sana, kwakweli tunakoelekeasiko kabisa
 
Mimi naomba kumshangaa alieandika kutushangaa tunaohudhuria mikutano ya kisiasa!!!!
unataka tuangalizie kwenye TV ama?.....seriously????
Lame M.....F.....!!!
SHANTA
 
hivi lema alikua anaimba taarabu au anahutubia, naona alikua anapozi kama za khadija kopa.
Khadija kopa ni wewe na baba yako Kikwete na MUlugo fanyeni mission nyingine ya kumuua hii ime abort musisahau na nyie hamtakaa muishi milele unaweweseka kama vile una kansa ya ubongo
 
Mh Dr.W.Slaa pindi utakapochukua hii nchi hakikisha haki inatendeka kwa Watanzania, kabla ya hata kuwafunga wakina Kikwete na genge lake la Mafisadi anzeeni na kumshughulikia huyu Mwigulu Nchemba anadamu nyingi sana za watanzania kwenye mikono yake, kila akishiriki kwenye kampeni huyu Mwigulu Nchemba, mauaji na kutekwa watu lazima vitokee
Wewe umesikia hii nchi ni Mbuzi wa kujichukulia tu?
 
Wananchi wamekaa wametulia kabisa halafu KIkwete anaamulisha mwiguru aweke watu wa jeshi la polisi kuuwa wananchi na viongozi wa chadema,Kikwete yeye wangemuuawa wakati anatengeneza mitandao yake katika CCM leo hii angekuwa raisi embu aache demokrasia ishamiri nchi hii au vigagula wake wa Bagamoyo wamemuambia damu za watu wa Arusha ni nzuri kwa yeye kubaki madarakani
 
Damu ya huyu mama na wengine zitaimaliza kabisa CCM. Haitachua muda mwingi hiki chama na wadhalimu wake watabakia historia katika nchi yetu. Tuzidi kumwomba Mungu. Yeye hapangiwi cha kufanya ila anafanya kilicho cha haki.
Uzuri ni kwamba hakuna inchi iliyopiga hatua bila kumwaga damu. Ni heri kufa kwa mawazo yanayoishi kuliko kuishi kwa mawazo yaliyokufa..! Adui mkubwa duniani ni uoga..!
 
Mkuu, leo wakati napitia picha mbalimbali nilizopiga siku hiyo niliongopa sana baada ya kukuona sehemu ambayo bomu lilirushwa...MUngu mkubwa lakini hakuna kurudi nyuma ni mapambano mbele kwa mbele...

Ni kweli mkuu, baada ya kuiona hiyo picha nilishtuka mpaka mwili unasisimka halafu napata hasira ya ajabu sana!
Tutapambana kwa haki na ukweli mpaka nchi hii itakapopata ukombozi!
 
Hebu tungejaribu kuzikusanya hizi picha za baada,kabla na wakati wa tukio lenyewe toka kwa wadau mbalimbali waliokuwepo eneo la tukio si ajabu inaweza kutupatia mwanga juu ya kummbaini muhusika hasa wa hili tukio. Siasa za Tanzania zinatisha sana kwa kweli na huku tunapoelekea tunaiweka amani rehani wallahi!!

mpaka sasaivi tz amani haipo!pata picha mwanao/kaka/dada/baba/mama... ndo ameuawa juzi utasema tz kuna amani?
kitu kingine ni kwamba ukatili huu unaofanyika ndo unawafanya raia wawe wanyama(na mioyo migumu) na mwisho wa siku wakikata tamaa ndo yatashuhudiwa kama ya Syria, libya, tunisia, congo, somalia &...!
tusiyaombe hayo, tupinge uovu huu kwa pamoja & kwa sauti moja!
 
Savimbi aka Osama bin lameck ndio muhusika mkuu IGP kama bado hamjamkata huyu mtu bora muwarudishe hao kina chagonja maana watakuwa wanatumia kodi zetu bure tu wakati gaidi ni Savimbi
 
Last edited by a moderator:
nathani tuendako cctv ni sharti kuwepo kuweka ulinzi kabla ama hata kubaini baadae,hii ni kwenye mkutano yote ya halaiki ya watu.poleni ndugu zetu!
 
Kwa hiyo ndio CCM mnavyoueneza udini nchini kwa staili hiyo?
Hapa hakuna cha udini wala nini ni CCM ndiyo wamehusika kuokoa jiji lisiende chadema kisa ni la pili kwa mapato na rasilimali za mafisadi ziko Arusha...lakini watang'oka tu.....
 
hivi lukuvi anajifikiriaje nafsi mwake anapotaka kuupotosha umma
 
Aliyerusha alitokea kwa wapi mbele ya huo umati au? na kwanini alirusha upande wa wa wananchi hakurusha jukwaa kuu au alilenga kurusha jukwaa kuu lakini bomu halikufika?

Wenzetu wakichunguza wanaenda sambamba na kuangalia MOTIVE.

Bila shaka jibu mnalo ninyi'

 
ukweli hauwezi kupindishwa kamwe... na Mungu hawezi kumficha mnafiki hata siku moja.. itajulikana tu..
 
Mkuu Crashwise hakika tukio lile halitokaa linitoke. Na kwako Mungi, Mungu ni mkubwa sana kwani tulipoondoa miguu yetu pale pakarushwa lile bomu! Humu JF huenda kungekuwa na thread ya RIP Arushaone na Mungi.

Arushaone, it seems ulikua eneo la tukio, viti jamaa aliyetupa hakuna hata mtu mmoja aliye muona? alikimbilia wapi? maana hii inakua kama hadithi ya simu ya kifo by faraj katalambula!
 
Back
Top Bottom