Bomu lilirushwa likaangukia hapa

Bomu lilirushwa likaangukia hapa

lukuvi ni shetani.....akipinda chama chake kuliko hata mungu


Hivi Lukuvi ana Familia nduga marafiki jamaaaa nakadharika au? Hiyo kauli kaitoa wapi kwanza kama tu mwanadamu wa kawaida pili mbunge mwakirishi wa watu tatu baba mwenye mke na watoto na jamaa na ndugu nne ni kiongozi wa serikali hii ni ndio "utter nonsense" how can he talk "out of ignorance” of such tragic.
Yaaaniiiiii


 
Ipo siku nchi hii itakuwa chini ya utawala wa CDM siku hiyo inakuja na si siku nyingi wananchi wameanza kulelewa pumba na mchele na wako tayari kubadilisha watawala dhalimu wa CCM na kuwapa nchi CDM.
 
CCM ielewe kwamba Watanzania hawapendi Vurugu.Hawakulelewa hivyo.Kadri wanavyorusha Mabomu na Watu Kufa,Ndivyo wanavyozidi kupoteza Wapigakura.Nina Imani,Vifo vya wale Watu watatu kwenye Maandamano ya Kumpinga Meya ukichanganya na Vipigo walivyopata Wanafunzi Chuo cha Uhasibu Arusha vimezidi kuiondoa CCM mioyoni mwa WanaArusha.
 
Elimu ndogo ya Lukuvi ndiyo asili ya mawazo yake mafupi.

Ule msemo wa akili ndogo inaongoza akili kubwa Lukuvi anautekeleza kwa vitendo.

Mwalimu wa shule ya msingi, Chipukizi na Gwaride la kimapinduzi enzi zileeee ndo vimemfikisha hapo.

Kazi aliyopewa ni nzito kichwa hana.

Na hivi ndivyo wazembe wengi katika Baraza la mawaziri la Kikwete walivyo.
Elimu hakuna na wale wenye vyeti magume gume PhD za Plastic Diogirii za Heshima wanazivalia vibwaya vya majani ya mchunga.
 
Viongozi mliopewa dhamana,kukaa kimya siyo jibu na wazee wetu Mkapa na Mwinyi,Salim,Komandoo mpo wapi damu za watz zinamwagika? Kikwete utajibu nini mbele ya Mungu hv watoto ulio nao ni wako au wa mtu mwingine? unajua wtz wote ni wanao wote kwanini unanyamaza kimya,umetumwa na nani,ili iweje,wanataka nini,siyo vyote vingaavyo ni dhahabu,,,,,,,JK ni chaguo la Mungu yupi,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom