Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,228
Inasikitisha kudhani kwamba damu ya huyo mama itaimaliza CCM.
Tafakuri jadidi inatosha kukujulisha kuwa CCM kamwe haihusiki na haiwezi kuhusika na upuuzi huo wa kurusha mabomu.
Jiangalieni ndani ya CDM mtajua nani kafanya hivyo na nini madhumuni yake.
Pia mjiulize kwa nini Kaloleni na kwa nini isiwe kata zingine tatu zilizobaki za Arusha au mikoa mingine.
Nataka kuwahakikishia tu kuwa what goes around comes also around. Kwani mwisho wa siku mtajua nani kawafanyia hivyo.
Daaaaah!!!!!!!!!!!! pole sana kwa giza lililotanda ubongo wako mithili ya diaphrum, si kosa lako