Kuna uzi nimechangia na kusema "Ukiambiwa usiwe kama LUKUVI" ni tusi moja kubwa sana hapa Tanzania!
Hii kitu ilipagwa na kusimamiwa na Kinana, Nchemba na RPC...
Mkuu pole sana ila wewe ndio ungekuwa Mungu hakuna angebaki... teh teh Mungu awarehemu na awape roho ya kujutia dhambi yao hii kuu na hatimaye kuifikilia toba ya kweli ya ondoleo la dhambi.Kwa imani zetu tufunge......kwa kufanya maombi hakika hawa wauaji waaadhibiwa na Mungu adhabu ambayo hatujapata ona mfano wake.........wanaweza hata wakawa kwenye mkutano au kikao Mungu akawaadhibu wote....hata kwa tetemeko la Ardhi! Hawawezi kukwepa ghadhabu ya Mungu wauaji wote waliohusika na tukio hili.
Kweli mkuu, nilikuwa siamini amini baada ya kuua kule Igunga,ndago na kumchinja vibaya mwenyekiti wa kata ya usa riva(chadema)....sasa amefanya kweli jijini Arusha...
Crashwise, Ukimuona Mwigulu Nchemba kwenye kampeni za uchaguzi ujue na utekaji upo pamoja na uuaji.
lukuvi mgonjwa
Mkuu, leo wakati napitia picha mbalimbali nilizopiga siku hiyo niliongopa sana baada ya kukuona sehemu ambayo bomu lilirushwa...MUngu mkubwa lakini hakuna kurudi nyuma ni mapambano mbele kwa mbele...Mkuu Arushaone usinikumbushe, maana yake kama siyo wewe kufika pale tusingeondoka.
Labda kwa faida ya wanajf ni hivi:
Mimi nilikuwa sehemu ya mbele, ambapo bomu lilidondokea, Arushaone naye akaja pale akaniuliza Crashwise yuko wapi, nikamwambia twende nikupeleke mahali anapo zi upload picha, ndiyo kuondoka kwetu pale ambapo hata dakika moja haikuisha mlipuko ukatokea. Mkuu ukiangalia picha hapo juu utaona mahali niliposimama mara ya kwanza.
Pengine nisema Mungu alikuleta pale ili tuondoke zetu. Lakini pia mahali risasi zilipoingia kwenye gari ni sehemu alipokuwa crash amekaa kwa ndani. Ni Mungu tu mkuu!
Huwa kuna vipaza sauti hakuna muziki kama muziki wa burudaniI feel for hao watoto masikini ambao walikuwa hata hawajui why wapo hapo labda walifuata mdundo wa muziki na shangwe.
Nawashauri kuanzia sasa hawa wanaofanya mikusanyiko wawe wanafanya sweep kuhakikisha kwamba maeneo yapo salama. Na vile vile CCTV Camera ziwe zinatumika ijapokuwa na matukio ya muda mfupi. Kungekuwa na camera huyo jamaa angeonekana na angekamatwa.
hivi lema alikua anaimba taarabu au anahutubia, naona alikua anapozi kama za khadija kopa.