Bomu lilirushwa likaangukia hapa

Bomu lilirushwa likaangukia hapa

Mwisho wao 2015 ccm haikubaliki tena,wanatumia polisi wamekuwa mbwa wao.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1371540535585.jpg
    uploadfromtaptalk1371540535585.jpg
    73.6 KB · Views: 145
Wakati Jeshi la Polisi Nchini likitangaza kufanya uchunguzi kuwabaini Wahusika wa mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa Chama Upinzani cha CHADEMA wa kufungia kampeni za uchaguzi wa Madiwani Jijini Arusha.Mimi ningependa kuliasa Jeshi la Polisi watakapoanza huo uchunguzi na waanze na hawa vijana wa Green Guard walio chini ya Chama Tawala cha CCM,Kwani kumekuwa kukiripotiwa matukio ya utekaji nyara na kuwashambulia mpaka kuwajeruhi Viongozi na Wanachama wa Vyama vya Upinzani katika maeneo mbali mbali ya Tanzania.Green Guard wamekuwa wakitumia silaha za jadi kufanya vitendo hivi vya uharifu dhidi ya Wapinzani.Ni dhahiri matendo haya yanayofanywa na Green Guard ni kinyume na sheria za Nchi na wanaangukia katika kundi la Magaidi.Lakini pia kuna Viongozi wa juu wa Chama Tawala ndio wanao ratibu matendo haya ya kiuharifu dhidi ya Wapinzani na wanajulikana.Kama ni kufanyika kwa Uchunguzi tuanze na hawa wanao ratibu mambo haya kwanza.Ni dhahiri Viongozi hawa wana siri nzito na hata kilichotokea Arusha watakuwa wanahusika
 
Binafsi nafahamu kuhusu Umoja wa Vijana wa CCM, lakini huwa sielewi hawa Green Guard wapo kwa lengo gani na nini kinahalalisha uwepo wao, kwa sababu siku zote nasikia tuhuma mbaya juu yao. Na je, ikiwa kila chama kitakuwa na genge kama hili la Green Guard siasa za nchi hii zitakuwaje?
 
viongozi wa juu ni akina nani mkuu? wataje mkuu tuwakate mapembe
 
Ni kweli Mkuu uliyoyasema,lakini pia hawa green guard wamesahau kwamba wao ni ka kikundi ka watu wachache ukilinganisha na wananchi waliosalia.Je wananchi waliobaki wakiamua kukashughulikia haka ka kikundi watapona?Wasiwe wajinga kwa kutumiwa ki maslahi na mafisadi wachache wasioitakia mema nchi na watu wake.
 
viongozi wa juu ni akina nani mkuu? wataje mkuu tuwakate mapembe
Mbona wanajulikana mkuu, hata watu wa vijijini kabisa wanawafahamu. Kama ulisikia jana mbunge kutoka Tanga anasema wazi kuwa watu haoa wanyang'anywe fungo kwani wanaliendesha
 
hii ni prpaganda mpya kabisa,yaani unajiua ili upate huruma,sijui utaionaje huruma hiyo wakati umeshakufa? wanasema nae Nasari alijipiga na kujiumiza vibaya ili huruma ipatikane.
narudia tena
CDM hawaitaji huruma Arusha,ni kama CUF pemba hawahitaji huruma kwa kujiripua mambomu.
ile ilikuwa ni mbinu ya kuogopesha watu wasifanye maamuzi sahihi.
Nimekosa tusi la kukupa!! Ungekuwa karibu hata nikakujua uliko ningekujia mchana huu!!Nikuonyeshe UHAI haudhihakiwi kitoto!!
 
nimeshikwa na kigugumizi cha hasira kwa serikali na polisi !!!
 
Bahati mbaya jana sikuweza kuangalia bunge sababu wawakilishi wangu hawakuwa bungeni pili nilikuwa na majonzi ya msiba wa raia walihukumiwa kifo bila hatia<arusha>na langa kijana wa umri mdogo kafa sababu ya boss kakalia majina ya vigogo wa chai ya waziwa bila majani,Mpk leo nikajua nikiangalia bunge lazima majonzi yangu yataongezeka,basi ngoja nitafute hyo kauli ya mbunge wa Tanga yawezekana nitaambulia hayo majina ya viongozi...asante mkuu
 
Crashwise kwenye hiyo picha Bwana Gabo amabaye pia ni kiongozi wa CDM na inasemekana ni mme wa Juddy yupo upande upi? tunaskia alikuwa karibu na bomu lilipotu na yupo ICU
cc. Mungi
 
Last edited by a moderator:
kwa umati huo ni lazima kitu kama hicho kitokee.
poleni sana sana Mungu yupo pamoja na nyie.
 
Inashangaza sana,hv kwenye umati wote ule mtu anaweza rusha bomu na asionekane?polis walikuwepo kulinda usalama na kama mrushaji alifanya vile nini kazi ya polisi katika kulinda amani?Halafu wanatuambia kuwa mpaka sasa hakuna mtu anaeshikiliwa na polis kama hawana uwezo au wameshindwa kazi si waseme tu wananchi tujilinge wenyewe?

Baada ya bomu kurushwa POLISI ndipo wakaanza kurusha mabomu ya machozi na risasi za moto na kuzidisha taharuki na kumwezesha mtuhumiwa kutoroka,usalemala wa taifa nao ni aibu nyingine kwa taifa hili.
 
Mtu anafika mbele ya huo umati na ulinzi wote, tena mbele ya Jukwaa halafu anarusha bomu, hivi hao jamaa waliokuwa wamevaa gwanda hapo mbele walikua wamelala? Na kwanini asirushe juu ya jukwaa? hapa kuna harufu ya mkono wa Lwaka.

point hiyoo
 
Nimekosa tusi la kukupa!! Ungekuwa karibu hata nikakujua uliko ningekujia mchana huu!!Nikuonyeshe UHAI haudhihakiwi kitoto!!

ndio mlivyofundishwa? kama unahasira nami siukarushe bomu tu ktk mikutano ya siasa utanikuta huko,hivi unajisikiaje pale mmoja wa ndugu yako kapoteza maisha kwa kurushiwa bomu ambalo wewe ndio uliye li-engineer?
waacheni wananchi wafanya maamuzi pasi ya kushurutishwa.ni vyema mtumie mabomu hayo kupambana na majangiri kule mikumi,maana wanyama wetu wanaumizwa na kutolewa meno huku mabomu yakitumika kuwamaliza watu wasio na hatia yeyote ile.
 
Mkuu, viongozi walikuwa wameshuka jukwaani kama dakika mbili wakikusanya pesa kutoka kwa wanachama/wapenzi wa chadema kwaajiri ya mawakala na hapo walipo watoto viongozi walikuwa kama hata mbili kutoka hapo..
Kama walikuwa wameshuka kama dakika mbili ina maana kuwa walikosa timing kidogo, na ndiyo shida ya hand grenade ambalo siyo atomatic bomb. Hakika walilenga wale viongozi!!! Believe me or not!!!! Mwiba mkali huo.
 
Kuna dalili za wazi kabisa Tanzania itakuwa kama Libya hivi karibuni.....
 
Hivi MUNGU yupo??? na kama Yupo kwanini anaacha watu wake wahujumiwe na kuaawa kikatili namna hii??? Mbona biblia Inasema wazi watawala wa zamani walivyokutana na nguvu ya MUNGU na kushindwa hila zao. Mbona kuna waliopigwa mapigo saba na wakapotelea mbali??

MUNGU waonyeshe watu wako kuwa upo na hakuna aliye juu zaidi yako. hujuma hizi zinazopelekea mauaji kwa watu wasio na hatia MUNGU Tunahitaji majibu. Tuondolee watu hawa wanaosababisha huzuni mioyoni mwetu kwa kutuulia wapendwa wetu.

Maombi haya tuyaendeleze na MUNGU atajibu si muda mrefu.
Amina Ktk Jina la Yesu Kristu!!
 
Back
Top Bottom