Hivi MUNGU yupo??? na kama Yupo kwanini anaacha watu wake wahujumiwe na kuaawa kikatili namna hii??? Mbona biblia Inasema wazi watawala wa zamani walivyokutana na nguvu ya MUNGU na kushindwa hila zao. Mbona kuna waliopigwa mapigo saba na wakapotelea mbali??
MUNGU waonyeshe watu wako kuwa upo na hakuna aliye juu zaidi yako. hujuma hizi zinazopelekea mauaji kwa watu wasio na hatia MUNGU Tunahitaji majibu. Tuondolee watu hawa wanaosababisha huzuni mioyoni mwetu kwa kutuulia wapendwa wetu.
Maombi haya tuyaendeleze na MUNGU atajibu si muda mrefu.