Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 6,133
- 11,392
Yani una request halafu unaona simu inaingia mtu anakuuliza upo wapi pengine hata hiyo sehemu huifahamu au nivigumu kuwa na sehemu specific yneye jina .
Bolt andeni semina fundisheni watu wenu jinsi ya kutumia ramani na jinsi ya kumfata mteja kuepusha usumbufu. Mambo ya kupigiana simu na kuanza kuelekezana yalishapitwa na wakati