Boko Haram yawaachia huru mabinti 82

Boko Haram yawaachia huru mabinti 82

Wewe umechelewa kweli,makundi ya kigaidi yapo katika ukristo mengi tu duniani na yasiyokuwa wakristo pia wapo..
1.Army God,mkubwa wako ni Scott Roeder
2.Eastern Lightning,the church of almighty God,Zang Lindog,mkubwa wao,,ameshauliwa yeye na Bint yake,walikuwa magaidi.
3.The Lord Resistance Army (LRA)
Mkubwa wao Joseph Kony..
4.The National Liberation Front of Tripura(NLFT).Hawa ni kikundi cha kikristo kiko India,cha kigaidi,kiliwahi kuwa wahindu,zaidi ya 30,wakati wakifanya ibada zao za kihindu (durga buja).Ni waprotestant.
5.The Phineas Priesthood
Hawa ni kikundi cha wazungu,cha kigaidi.
6.Ku Klux Klan.
7.Aryan Nations
8.Phineas priesthood
9.The Concerned Christians,hawa ni wakristo,wanaowauwa Jews,ili waingia ukristo kwa nguvu.
Kwa vile vyombo vya habari,vikubwa duniani,vinamilikiwa na wa Magharibi,habari za magaidi Hawa hazitangazwi kwa wingi.Mpaka upate vyombo vya habari,vyisivyopendelea upande wowote,ndio utapata habari zao.
Na ikiwa kweli nchi za kiislamu zina upendo kwa wapendwa wenzao kwanini wasomali ambao ni waislamu wanakimbilia south afrika ili waende uingereza,marekani na ufaransa kiurahisi wasikimbilie oman,afghanstan,palestina na dubai?.
Ujue waalipo wakristo ni amani tele na hata juzi raisi wa marekani amewapiga bann marufuku waislam kukanyaga nchini mwake mpaka mtakapoacha ugaidi.
Kwanini hajawazuia wa nchi za kikristo?.Tafakari chukua hatua mlango uko wazi.
 
Nadhani kabla ya kuattack iiman ya watu ungeweka ushahidi wa kile unachokisema, usichukue watu wa chache wanaofanya uharifu kwa jina la uslamu na kujumuisha iman ya uislam.
Hivi umewahi kufuatilia historia ya makundi hayo uliyoyataja kwa kina? Yalianzaje? Yaliundwa kwa lengo gani? Na nani anayafadhili ?
Waweza ukawa sahihi ktk maelezo yako juu ya uanzishwaji wa makundi hayo lakini swali linabaki pale pale lini waislamu walisimama kidete kuyapinga hadharani makundi hayo iwe opresheni misikiti yote.
Simaanishi waislamu wote ni wabaya,elewa hoja yetu.Tunahitaji kupinga lakini tunajua chanzo ni msikitini huko madrasa.
 
Kiukweli hapo serikali ijipange maana hofu yangu ni kwamba hao mabinti watakuwa na roho mbaya ya kikatili kwa % kubwa. Nasema hivi tena kwa ujasiri mkubwa kwa vile miaka mitatu wamepitia mambo mengi ya kikatili na wameshuhudia ukatili na wengine kuufanya kabisa. Wazazi na watu wa kiroho wafanye kazi haswaaa lah sivyo matatizo yameongezeka. Take note, mwanamke akiwa katili basi huwa katili haswaaaa tofauti na mwanaume.
 
Akili yako fupi Kama maisha ya funza huwez jua maana ya uislam maana upeo wako umeishia hapo
Yawezekana kweli akili yangu hata fubza akawa ananiovertake lakini je akili yangu kuwa hivyo ndiyo kitenganishi kuwa alshababu siyo wapendwa wenzenu wanaopanga hila chafu wakiwa msikitini?.
Uislam na mwislamu ni kama mhindi na mbelewele kwa hiyo si tatizo.Siwezi kukwazika nawe kwa matusi bali naililia akili yako ipate kupona kutoka ktk utumwa wa dini na kuingia ktk imani sahihi ya kuleta amani,upendo,utu wema kama mtume wako alivyokuahidi.
Sasa huwezi kuwa huru bila kuivisha akili yako uelewa na ujenge hoja.Kuna mambo mnaogopa kuyasema hapa jukwaani.
 
Hivi kuna magaidi ya kikristo yanayo chinja hinja ili yachafue ukristo?

Yapo, Juzi Juzi baada ya kuua Arabuni na Africa kwa Miaka Mingi yalipeleka Fitna kwa Vipanki wa Korea lakin bado Mahesabu ya Kuua Wakorea Kaskazini hayajakaa sawa wamerudisha Manowari bahari ya Mbali kujipanga!
 
Why are terrorist groups like Al Qaeda,Hamas,and Boko haram often described in the media as Islamic while groups like KKK,,IRA and Lord Resistance Army are rarely described as Christan?
 
Huo ndio uislam. Kuchinja, kuiba na kuharibu. Hawana watoto? Au wameambiwa waache watoto ili waongeze nguvu kwenye kundi hili la mashetani?
Watake radhi waislam!

Boko haramu ni kikundi cha kigaidi kinachotumia mwamvuli wa dini ya kiislam. Waislamu hawaungi mkono kabisa ugaidi

Ni kama tu sisi wakristo wanapotokea wahalifu wanaotumia jina la Yesu huku wakitumia nguvu za giza. Si umeona wachungaji kadhaa wakitoa mapepo kwa kupulizia watu dawa ya mbu? Je, huo ni Ukristo?

Dini zetu zote ni nzuri. Tatizo ni waovu wachache wanajificha kwenye kivuli cha dini kutekeleza maslahi yao ya kiuchumi, kiitikadi na kisiasa!
 
Mkuu, nyie mbona mnatofautiana sana? Kuna rafiki yangu muislam aliwahi kuniambia tena huku amenikazia macho kwelikweli kwamba kummaliza mtu asiyekuwa muislam ni jambo la heri na ni moja ya kumuabudu Mungu..
Mimi ni mkristu ndugu,ila huyo jamaa yako pia amekupotosha,kwani hata hao magaidi wenyewe mbona wanawauwa waislamu wenzao!
 
Duh sasa na hao,wafungwa walobadilishana nao wanaenda kwa boko haramu kufanya nin? Na hali hyo itaendlea mpaka lin?
 
Ni muda muafaka wa waislamu duniani kote kujipambanua kujitofautisha kati ya uislamu na ugaidi,alshabab na uislamu,boko haramu na uislamu,ushirikina na uislamu.
Yawezekana wengine msielewe yaani makundi yote hapo juu yanafanya uharamia wote mchafu na hatuoni mataifa ya kiislamu yakipinga ujinga huo.
Leo hii ni nani mtakayempa injili yenu akawakubali?.
Simameni peupe mukatae na kuwapinga hawa magaidi.Leo nchi zote ambazo ni muslim majority amani hakuna angalia somalia,libya,misri,palestina,iran na kwingineko tabu tupu.
Hivi huyo Mungu mnayemwabudu yuko likizo?.
Mkuu ujinga wafanye wengine nkapinge mie kisa wote waislamu?.Mbona sjawaona mkiandamana kupinga vitendo vya ulawiti vinavyofanywa na baadhi ya wachungaji na makasisi?,inamaana kundi fulani la wakristo ama mabudha wakifanya jambo ovu tuwajumlishe wote.kila mtu atabeba msalaba wake mazee,ufirauni wao haunihusu mimi.
 
kumbe boko haram walikuwa wanawasiliana na serikali muda mrefu.

lakini kwanini wanashindwa kuwamaliza boko haram?

nakumbuka na ile hadithi ya kwenye biblia ambapo shetani na mungu wanapiga stori na shetani anamuambia mungu naomba nikamjaribu mtu wako lazaro na mungu akamwambia nenda ukamjaribu ila usimuue.
pale ndio nikaja kugundua kwamba mungu na shetani ni marafiki na huwa wanawasiliana.
AYUBU
 
kumbe boko haram walikuwa wanawasiliana na serikali muda mrefu.

lakini kwanini wanashindwa kuwamaliza boko haram?

nakumbuka na ile hadithi ya kwenye biblia ambapo shetani na mungu wanapiga stori na shetani anamuambia mungu naomba nikamjaribu mtu wako lazaro na mungu akamwambia nenda ukamjaribu ila usimuue.
pale ndio nikaja kugundua kwamba mungu na shetani ni marafiki na huwa wanawasiliana.
Umesoma Biblia ya wapi hiyo?
 
Back
Top Bottom