Yaani tunajua uislamu na sifa zake yaani ni kinyume kabisa na matendo ya makundi haya ndg.
Uislamu ni upendo,uislamu ni amani,uislamu ni rehema.Je nchi zote za kiislamu hayo hapo juu yapo?.
Bahati nzuri nchi za kiislamu mmekataa hata kuhubiriwa injili ya yesu kristo aliye hai ili muujue undani wa imani ya kikristo kama nyie mnavyotuhubiria tukasikia.Mnahofu nini?.
Huko korea mashahidi wa jehova wametishiwa kufungiwa makanisa yao kisa mashahidi hawataki vita.
Somalia hakuna kanisa full vita.Ina maana misikiti yenu ni magenge ya kupangia njama za utekaji?.
Yesu kristo alisema tutawajua walio wa Mungu kwa matendo yao.Yaani bwana yesu asifiwe wala salaam aleykum hazititishi bali matendo ya mtu.
Ndg zetu waislam hapo mmepwaya jitafakarini upya muijenge imani yenu kama mtume wenu alivyowauru.
Ikiwa leo mtume wenu akifufuka akute haya yanayofanywa na mnaojitia wafuasi wake kuuana,kubaka,kufilana,vita tele na mengineyo atazimia afe tena.
Makundi yote ya kigaidi ni ya kiislamu kuanzia isis,bokoharam,alkaida,alshabab,mungiki na ambayo sijayataja.Hakuna majeshi yanayoongoza kusali duniani kuzidi ya kiislamu somalia alshabab lakini matendo ni zero.