Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

ndio serikali ilikuwa haikusanyi madeni zamani lakini sasa hivi wameanza kukusanya, kwa hiyo wanaodaiwa walipe.
nashangaa mnaodaiwa mnang'ang'ania serikali ilikuwa haikusanyi madeni mnataka kutafuta sababu, hata kama serikali ilikuwa haikusanyi sasa hivi imeamua kukusanya lipeni, acheni ubinafsi
 
ndio serikali ilikuwa haikusanyi madeni zamani lakini sasa hivi wameanza kukusanya, kwa hiyo wanaodaiwa walipe.
nashangaa mnaodaiwa mnang'ang'ania serikali ilikuwa haikusanyi madeni mnataka kutafuta sababu, hata kama serikali ilikuwa haikusanyi sasa hivi imeamua kukusanya lipeni, acheni ubinafsi

Nafikiri kulipana kitu chochote kuna utaratibu unaokubalika kisheria pande zote mbili husika, sasa watalipaje kitu ambacho hakina document halali inayoonyesha madai? ulikopa 5 unaombwa kulipa 10 bila maelezo au hukukopwa kabisa leo unaombwa ulipe 5 hiyo ni utaratibu mzuri? kwa ufupi jamaa zetu hawana hata kumbukumbu nzuri kwani mizengwe kwao ni jadi, walivyokuwa wanazichota sasa wanatafuta kubambikia watu wasiohusika, mie nilifuatwa na Bosi wangu kuwa ninadaiwa nikampa sharti moja tu! walete ushahidi wa voucher niliyosaini kuchukua mkopo huo then aanze kukata,.....mwaka wa pili huu kimyaaaaaaaaaaa
 
Kukopa ni harusi kulipa ni matanga. Jamani hapo simsimangi mtu bali nakumbushia tu ile nature ya mkopo
 
Waswahili bwana ni watu wa ajabu.
Wasipopewa mkopo shida tupu. Walipewa mkopo leo wanajifanya kuuliza sijui barua sijui statement, hivi kweli hujui ulikopa shilingi ngapi na unatakiwa kulipa shilingi ngapi?
Hii inaonyesha hamkuwa na nia ya kulipa ndio sababu mmesahau madeni yenu ni shilingi ngapi!
Lipeni au wawapeleke mahakamani. Hivi bond zenu ilikuwa ni nini vile? zile nyumba za baba zenu? na mashamba yao?
Mama yangu weeeeeeeeeee mmekwisha. Kalipeni haraka wengine wasome.
hivi wewe hukosoma Tanzania nini?Kwenye miaka ya 2000 hata form za mikopo hazikwepo.Ni kweli watu hawajui wanadaiwa kiasi gani. Mengine yalikuwa ni grants. ada za vyuo enzi hizo hata hakuna anayekwambia. Vyuo wala bodi wenyewe hawatoi stakabadhi.
 
Hhahahahah! Heri mimi sijasoma! Kama hujalipa deni, wewe kalipe tu. Isiwe taabu sana. Umesomeshwa bure, sasa umeshapata lijikazi la maana, wewe umekalia kutanua tu. Wawezeshe wadogo zetu wasome bwana. Lazima kuwe na revolving fund ili haya mambo yaweze kwenda. Otherwise hii nchi itakuwa na mambumbumbu tu. Ki ukweli ni kwamba serikali haiwezi kukupesha wote, hasa ukizingatia idadi ya vyuo ilivyokubwa. The likes of UDOM ina intake ya 10,000 per annum. Can u imagine than? In the next two years, UDOM itakuwa na more than 40,000 students. Sasa serikali kuu itatoa wapi mihela yote hiyo? Rudisheni hela za watu bwana na muache masihara na haya mambo.
 
Unajua humu kuna watu makanithi wanaongea kama wanaujauzito mchanga. Eti unang'ang'aniza watu walipe mikopo..hivi unajua kuwa suala la mkopo ni suala binafsi? Unajua conditions na schedules za mikopo? Unajua ni kiasi gani? Unajua agreed contractual terms? Unawajua parties husika na responsibilities zao? etc..Kama hujui una-comment nini sasa? nyambafu.

Wewe kama baba yako ni fisadi alikusomesha private college, tuliza kitenesi wala usitie mguu kwenye personal issues za watu..hii thread itabaki kama reminder au taarifa tu na katu mtu asidhanie anaweza kumfanya mtu alipe mkopo kwa mijikwara mbuzi na hoja za kijinga eti wengine wasome. Kusoma kwa mtu A hakuna uhusiano wa mojakwamoja na mkopo wa mtu B.
 
Unajua humu kuna watu makanithi wanaongea kama wanaujauzito mchanga. Eti unang'ang'aniza watu walipe mikopo..hivi unajua kuwa suala la mkopo ni suala binafsi? Unajua conditions na schedules za mikopo? Unajua ni kiasi gani? Unajua agreed contractual terms? Unawajua parties husika na responsibilities zao? etc..Kama hujui una-comment nini sasa? nyambafu.

Wewe kama baba yako ni fisadi alikusomesha private college, tuliza kitenesi wala usitie mguu kwenye personal issues za watu..hii thread itabaki kama reminder au taarifa tu na katu mtu asidhanie anaweza kumfanya mtu alipe mkopo kwa mijikwara mbuzi na hoja za kijinga eti wengine wasome. Kusoma kwa mtu A hakuna uhusiano wa mojakwamoja na mkopo wa mtu B.
unajidhalilisha sana
na dini yako unaidhalilisha pia
pole sana mdogo wangu
 
unajidhalilisha sana
na dini yako unaidhalilisha pia
pole sana mdogo wangu

Hoja yako ni nini? sikuelewi..

Hoja yangu ni hii narejea tena:

Kila mtu aachwe mwenyewe aamue nini cha kufanya kuhusu hii mikopo. Wakati anachukua mkopo hukuwepo na wala hujui nini kimo kwenye 'consideration', na wala hali kwako sasa hivi..kama inakuuma sana kamshtaki basi kwa Maghembe.
 
Unajua humu kuna watu makanithi wanaongea kama wanaujauzito mchanga. .
huu ni utoto!
hata usipotumia hizi lugha za kidhalilishaji bado watanzania TUTAKUELEWA!

ulichokiongea ni cha msingi,lakini huitaji kutumia hiyo lugha smtmz
 
huu ni utoto!
hata usipotumia hizi lugha za kidhalilishaji bado watanzania TUTAKUELEWA!

ulichokiongea ni cha msingi,lakini huitaji kutumia hiyo lugha smtmz

Hii ndio lugha unayoitaka si ndio?

Lipeni au wawapeleke mahakamani. Hivi bond zenu ilikuwa ni nini vile? zile nyumba za baba zenu? na mashamba yao?
 
Kuna wanafunzi wanakosa mikopo kwa ajili ya wajanja njaa wanao kwepa kwepa kulipa mikopo lipeni jamani na wadogo zenu wasome au mlijua mnapewa bure zile pesa?
 
Kuna wanafunzi wanakosa mikopo kwa ajili ya wajanja njaa wanao kwepa kwepa kulipa mikopo lipeni jamani na wadogo zenu wasome au mlijua mnapewa bure zile pesa?
mzee we HESLB walikunyima nn mkopo? naona umeshikia bango ile mbaya...teh teh teh...
kuna wanafunzi walipelekwa Urusi na walipewa more than Tshs 35M (mkopo kwa ujumla), je watalipaje mikopo yao?
 
mzee we HESLB walikunyima nn mkopo? naona umeshikia bango ile mbaya...teh teh teh...
kuna wanafunzi walipelekwa Urusi na walipewa more than Tshs 35M (mkopo kwa ujumla), je watalipaje mikopo yao?
watabeba boksi na kulipa kidogo kidogo!
ukweli ni kwamba hizo hela mzilipe
 
Jamani,
Tukumbuke kua tulisaini kua huu ni mkopo na tutaulipa hivyo ni lazima tulipe. kama kuna tatizo la kupewa bill kubwa kuliko inavyotatikana nadhani ni suala la mhusika kuwasiliana na bodio kwa maelezo zaidi. mimi niliwahi kwenda bodi na kupewa loan statement mabayo ni sahihi,
Dawa ya deni kuliopa na wenzetu wasome...
 
watabeba boksi na kulipa kidogo kidogo!
ukweli ni kwamba hizo hela mzilipe
kuna baadhi ya wanafunzi waliomba kwa mfano $10,000/= per year na akapiga mi-signature yake....bodi ikatuma $9000/=, je mtu kama huyo malipo yake itakuwaje kwani documents zinaonyesha alikopa $10,000/=, msaada plz...
 
kuna baadhi ya wanafunzi waliomba kwa mfano $10,000/= per year na akapiga mi-signature yake....bodi ikatuma $9000/=, je mtu kama huyo malipo yake itakuwaje kwani documents zinaonyesha alikopa $10,000/=, msaada plz...

Hiyo inakuwa imekula kwako huna jinsi kulipa deni hilo la $1000 walilo kula wajanja
 
Back
Top Bottom