Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.

Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..

Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..

Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???
Swali dogo tu..
Tayari ameshaondolewa mjengoni hapo. Je inamaana kutupiwa vyombo nje ndo suluhu na deni ndo limekwendaaa?
 
Jana nilikuwa mahali fulani muda wa jioni. Nikaona tbc wakiongelea hili la mgogoro wa nhc na mbowe. Hawakusahau kusema mbowe mwenyekiti wa cdm taifa anadaiwa kodi. Nilihisi ni propaganda ya aina fulani ili kuchafua taswira ya chama.
Inawezekana kinachoendelea si haki kwa chama, lakini ni ngumu kumzungumzia Mbowe bila kuitaja nafasi yake CDM. Nafasi yake kwenye chama ndio kama identity yake kwenye hii nchi. Kawa maarufu sana sababu ya nafasi yake CDM na siyo biashara zake. Wa vijijini hawajui kama huko Dar kuna Bills/ Mbowe hotel, wanachojua ni mpiganaji wa chama,.
 
Dawa YA deni ni kulipa haijalishi anaedaiwa ni mwanachama wa CCM au chadema wote sheria ifuate mkondo
 
Yaani mimi naamini kwa akili ya Mbowe alivyo kichwa atawahenyesha sana na hii inshu maana tangu kelele hizi zianze ni mda mrefu na yeye hajasema lolote,
Msije kushangaa anawadai NHC mabilioni, maana hivi vichwa vya kichaga hivi bwana ni hatari sana kwenye hela.
 
Wewe mdada unakijua kinorwegian? Maana hilo neno venine lina maana ya rafiki wa kike.
Back to the topic:
Ni kweli inashawishi kutaja nafasi yake ya kisiasa/kichama ili kutimiza malengo ya kudhoofisha chama. Kwa hapo ndipo nazidi kuitilia mashaka hii tbc inayoendeshwa kwa kodi zetu.
Hahaaaaa! Gaa det bra?
 
Hiyo mikataba ya kibiashara ameikiuka wiki hii? Toka miaka hiyo walikuwa wapi kumfukuza .hapa anafanyiwa fitna kwa kuwa ana nguvu ya kisiasa. Mbowe si mjinga akae bure miaka yote hiyo asilipie pango.
Kama Ana akili angelipa kodi afanye Biashara kwa Amani. Lakini kuachia issue ina ninginia kwa kipindi chote hicho huleteleza Kamba kukatika katika siku ambayo hakutarajia au kutegemea.
 
Magu aliwahi kusema '.....wapo wanaoishi kama malaika,awamu hii wataishi kama mashetani' Nikikumbuka hiyo kauli,mwili unasisimka. Hivi maandalizi ya polisi kupambana na UKUTA ilikuwa kiasi gani? Halafu hakuna hata aliyegongwa kwenzi;tugawane hasara
 
Wasubiri kulipa mara mbili au tatu ya thamani ya hizo mali.Na kulipia siku walizoshindwa kufanya biasahara.Ninaona kama hii ni kumkomoa zaidi Rais kuliko kumsaidia
Halafu ni kodi yenu walala hoi
 
Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.
Kwa hiyo chama chake kingeshinda, hilo jengo lazima lingekuwa mali yake,ndio maana akawa hataki kulipa pango.
Kama ushahidi wa kulipa kodi anao adai haki yake

Dr Ferdinand Masau (RIP) aliyekuwa wa THI alifanyiwa haya haya!

Vituko kama hivi ni rahisi kufanyika na wanasiasa, ila ni aibu kwamba wanawatumia watu kama akina Mchechu kutekeleza. Naturally, baada ya kufanya mambo yote haya ya hovyo, atatangazwa kwamba hana maadili, which will be correct baadaye ni kutumbuliwa tu!
 
Back
Top Bottom