Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Yaani yeye Mbowe amekazana kwamba Magufuli ni mbaya ni dikteta kumbe yeye mwenyewe mchafu. Halafu anataka awapeleke wananchi na hao watoto wa kimaskini kwenye maandamano.
Hata kama hii issue imekaa kisiasa lakini leo hii watanzania mmeonyeshwa wazi juu ya hao viongozi walivyo. Magufuli alilua hana haja ya kuzungumza mengi, sasa mjionee wenyewe
 
Swali anadaiwa hadaiwi?.. Punguza porojo..Mi nikikukpesha pesa na nikakopesha na watu wengine. Nikija kukudai utasema kwamba "mbona unanidai mimi peke yangu"?
Kwani ye alitaka wanzie kudai wapi labda atupe mapendekezo.
 
Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.

Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..

Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..

Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???
Mkuu hayo maswali yako hayana umuhimu,swali muhimu ni moja tu,je ni kweli anadaiwa? mimi naweza kuwa nawadai watu wawili wewe na mwenzako,nnapokuja kwako kuchukua pesa yangu kama muda tuliokubaliana umefika usije ukaniuliza mbona umekuja muda huu wala usiniulize kwamba mbona mwenzangu yeye humdai,ya mwenzako hayatakusaidia,wewe dumbukia mfukoni nipe changu nikuache huru.
 
HONGERENI NHC KWA KUFANIKISHA KUMTOA KAMANDA MBOWE KTK JENGO HILO....
MAANA MDAIWA SUGU NI MMOJA PEKEE YAKE MLIYOKUWA MNAMDAI ....MH MBOWE....

OVA
 
Nangojea na sisi wanatudai maana Deni l taiafa linakuwa sijui watachukua Ikuru hama mlima kilimanjaro. kisiasa Trust me Siasa mchezo msafi sana senma unaweza kuchezwa na watu wachafu. wadaiwa NHC ni wengi mnoo why Mbowe? Mbowe Hotel karuka debe babangu sijazaliwa why leo? yes dawa ya deni kulipa

kumbe watanzania tunachagua mafisadi wa kuwajibishwa.
wengine hatutaki waguswe eeh??
 
HONGERENI NHC KWA KUFANIKISHA KUMTOA KAMANDA MBOWE KTK JENGO HILO....
MAANA MDAIWA SUGU NI MMOJA PEKEE YAKE MLIYOKUWA MNAMDAI ....MH MBOWE....

OVA

ungefurahi kama angeendelea kukwepa kodi??
watanzania wanafiki sisi!!! hatari sana.
 
Majengo hayo yana kesi Mahakamani,pili kama mwenyewe anasema hadaiwi kwanini wamtolee na kuharibu vyombo vyake?Ninawaza either mawili Chuki ya Ukanda au Itikadi.Lakini hakutendewa haki
Acha uongo mkuu!

Hakuna kesi iliyo mahakamani hadi sasa!

Eti chuki ya ukanda, mavi kabisa!! Yaani mtu asilipe kodi stahiki akilazimishwa kulipa mnadai chuki za kikanda?! Mnaakili timamu kweli huko Ufipa!?
 
Hizo ngonjera hazituhusu
Sisi kodi tu.
Kama Mbowe Haguswi ni Ufipa na sio kwa serikali hii ya Magu hilo mlitambue.
Kikubwa nikudaiwa na dawa ya deni kulipa,
Tuache Siasa kwenye vitu muhimu.


ALIKUWA DHAIFU
KWASASA?……
 
CCM inafanya siasa za kishamba ambazo hazitawasaidia chochote .
 
Back
Top Bottom