Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

muungwana akivuliwa huchutama.my take mbowe nakuomba mimi kama mdogo wako uombe radhi watanzania pia mh raisi aka tingatinga
 
Mbowe mjanja sana....anafanya siasa za maandamano na matamko ili kuiweka busy serikali ili washindwe kufuatilia ukwepaji wake wa kodi.....

Anawarubuni vijana katika lugha ya huruma kana kwamba anaonewa kumbe ni li fisadi kama yule aliyempokea
 
Mkuu!

Kama mtu kakiuka mikataba yake ya kibiashara na kukwepa kodi ya serikali asiguswe kwa sababu tu ni mwenyekiti wa Chadema?

Kama Mbowe kaonewa si angetupa hoja? Kwa Magufuli ni wazi kwamba hakuna fisadi atakayesalimika
Hiyo mikataba ya kibiashara ameikiuka wiki hii? Toka miaka hiyo walikuwa wapi kumfukuza .hapa anafanyiwa fitna kwa kuwa ana nguvu ya kisiasa. Mbowe si mjinga akae bure miaka yote hiyo asilipie pango.
 
Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.

Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..

Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..

Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???
Dawa ya deni nim kulipa!kama anaona ananyanyasika kwenye majengo ya umma, ajenge yakwake
 
Mkuu siku nyingine punguza papara ktk uandishi wako!
 
Dawa ya deni ni kulipa tuu hakuna ujanja ujanja msilete siasa kwenye hili si mahala pake.
 
Ndo maana siku zote nasema CHADEMA Chama cha matapeli. Watu wanaohubiri uongo juu ya wengine ya kwao hawa semi. Navyofahamu kwa huyu Bwana mkubwa bado yapo mengi tu ya namjia. Ikiwemo kufikishwa mahakamani kama muhimu uchumi. Muda ndo kila kitu Tusubiri.
 
Hiyo mikataba ya kibiashara ameikiuka wiki hii? Toka miaka hiyo walikuwa wapi kumfukuza .hapa anafanyiwa fitna kwa kuwa ana nguvu ya kisiasa. Mbowe si mjinga akae bure miaka yote hiyo asilipie pango.
Kama ushahidi wa kulipa kodi anao adai haki yake
 
Back
Top Bottom