Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

kumbe jamaa mnafki akisema vijana tuipinge serikal wakat yey anachangia kuyadumaza maendeleo ya wa tz kwa ukwepaj wake wa Kodi..sasa ukuta aliotaka kuujenga umeanza anguka nyumbani kwake..wacha ayasome mabadiliko na yeye
 
h jamani hata kiswahili nacho ni shida kuandika? sasa maneno mengine hata hatuelewi una maana gani, au ndiyo ulikuwa unaandika kwa jazba?
Nikusaidie kitu kidogo..mimi natumia smartphone... Sometimes nakuwa nimeandika sawa lakini herufi inajibadili nikishatuma but Kuna njia ya kuzuia kama kuangalia maneno yanayojiandika Hapa kati kati ya Simu kama unatumia Simu ya Tochi huwezi elewa nina maanisha nini..Lakini ninachoshukuru ni Ujumbe kufika kama nilivyotazamia.Aksante.
 
Nimecheka sana...huyo jamaa ameandika lugha ya ajabu kidogo...kwake 'hivi' ni 'ivi' na 'kijani' ni 'kijana'.....Yaani hata sentensi zake ni ngumu kuzielewa....huyu ameandika kwa jazba au ndiyo hivyo tena...
Niliandika huku natetemeka.
 
Mkuu hayo maswali yako hayana umuhimu,swali muhimu ni moja tu,je ni kweli anadaiwa? mimi naweza kuwa nawadai watu wawili wewe na mwenzako,nnapokuja kwako kuchukua pesa yangu kama muda tuliokubaliana umefika usije ukaniuliza mbona umekuja muda huu wala usiniulize kwamba mbona mwenzangu yeye humdai,ya mwenzako hayatakusaidia,wewe dumbukia mfukoni nipe changu nikuache huru.
Una habari kwamba serikali yako hiyo hiyo inadaiwa Matrilion...Kwa nini hawalipi.wajabaki hawana deni..kifupi Hapa juu ya jua Hakuna asiyedaiwa.Hapa Kuna mkono wa MTU. halafu hao Watu wa kijani wanavyodaiwa Mbowe cha Mtoto mchanga ila kwa kuwa hujui kitu unaropoka tu Hapa..Hapa ni Kukomoana..kwanza kesi IPO mahakamani miaka Na miaka ..subirini mtaona atakavyolipwa fidia..Na kama hujui hizo Nyumba za NHC sio nyumba za kodi kubwaa kiasi kwamba Bwana mkubwa ashindwe kulipa kwa wakati..Walimwanzishia zengwee ili ashindwe kulipa...Mfano.mzuri ni wa Maduka ya mwanza stendi toka kodi ya Elfu 20 kwa mwezi wakawapandishia Mpaka laki 2 kwa mwezi..So you can imagine how it is..stop judging him wait and see.
 
Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.
Tumia akili kidogo , hivi process ya kumtoa Mtu kwenye pango ni rahisi , hasa hasa mwenye kujua sheria na uwezo wa kuweka wakili? Kwa mfano Mimi niwe mpangaji wako nishindwe kukulipa pesa yako si kwanza utanipa notisi, ya kwanza ya pili ya tatu , halafu utaomba debt recovery agency au mahakama ya nyumba ili itoe ameo ya kunitoa kwenye nyumba na kushikilia Mali zangu hadi hapo nitakapolipa deni, sasa kwa misingi Hiyo ni wazi hizo hatua zimechukuliwa mpaka hapo forsters auction mart wameweweza kumtoa Msemo Sugu wa NHC
 
Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.
Azoofike Mara ngapi,ofisi yake aina hats kalenda,INA maana alipokuwa anapanga tar 1iwe Siku ya maandamano akuangalia tar ajue geshi litakuwa na ratiba gani mjini?
 
Hiyo mikataba ya kibiashara ameikiuka wiki hii? Toka miaka hiyo walikuwa wapi kumfukuza .hapa anafanyiwa fitna kwa kuwa ana nguvu ya kisiasa. Mbowe si mjinga akae bure miaka yote hiyo asilipie pango.
Mbowe so mjinga akae miaka yote asilipe Kodi??kama kaonewa atoke basi apinge au we unampingia??
 
Una habari kwamba serikali yako hiyo hiyo inadaiwa Matrilion...Kwa nini hawalipi.wajabaki hawana deni..kifupi Hapa juu ya jua Hakuna asiyedaiwa.Hapa Kuna mkono wa MTU. halafu hao Watu wa kijani wanavyodaiwa Mbowe cha Mtoto mchanga ila kwa kuwa hujui kitu unaropoka tu Hapa..Hapa ni Kukomoana..kwanza kesi IPO mahakamani miaka Na miaka ..subirini mtaona atakavyolipwa fidia..Na kama hujui hizo Nyumba za NHC sio nyumba za kodi kubwaa kiasi kwamba Bwana mkubwa ashindwe kulipa kwa wakati..Walimwanzishia zengwee ili ashindwe kulipa...Mfano.mzuri ni wa Maduka ya mwanza stendi toka kodi ya Elfu 20 kwa mwezi wakawapandishia Mpaka laki 2 kwa mwezi..So you can imagine how it is..stop judging him wait and see.
Ukisoma magazeti sehemu ya matangazo utakuta kuna Mali za wadeni wa Benki n.k zinapigwa mnada iwe ya mwana ccm / cdm/act /cuf na wasio na Chama , sasa iweje Suala hili liwe la kisiasa, au ulitaka ukomo wa Hilo deni uwe miaka mingapi na kiasi gani ili uwelewe ni wakati gani wa kuchukua hatua. Je wajua kwamba zile rent za Enzi za ujamaa hazipo tena hasa kwenye maeneo ya Biashara na zaidi ya hapo sera za ccm/cdm zote ni za ubepari kwa sasa au za CDM ni za kiu jamaa
 
Kama halipi kodi hafai kuwa mwenyekiti aondolewe haraka apewe professor safari
 
Ninachofahamu Tanzania Daima na Billicanas havifanyi kazi kama MTU mmoja"individual person"ila ni corporate person"corporation".
Hapo kuna historian ndefu itafumuka...tutajua mengi mno
Let it unfold
 
Inawezekana kinachoendelea si haki kwa chama, lakini ni ngumu kumzungumzia Mbowe bila kuitaja nafasi yake CDM. Nafasi yake kwenye chama ndio kama identity yake kwenye hii nchi. Kawa maarufu sana sababu ya nafasi yake CDM na siyo biashara zake. Wa vijijini hawajui kama huko Dar kuna Bills/ Mbowe hotel, wanachojua ni mpiganaji wa chama,.


Kwani Mbowe ni babako?
 
Hii ni siasa tu sijui kama nimjuavyo mbowe bilioni 2 ingemshinda lakini wakaona ili wamwaibishe watoe vitu nnje
Wakauze basi na majengo wabaki nayo mbowe ataanza upya pesa aliyonayo hashindwi kuanza upya


Kwani Mbowe ni babako!
 
mbowe anawajibika kulipa ingawa tatizo kubwa zaidi naliona NHC, vyombo vya mteja wao hutolewa nje deni linapo fika ukubwa gani?
 
Back
Top Bottom