Alikuwa kapangisha ila kodi ya pango alikuwa halipi.Kumbe bills ni ya mbowe[emoji20][emoji20][emoji20]
Mi mwenyewe nashangaa!Nyerere alikataza wanasiasa wasiwe wafanyabiashara
Jamani mbona munang'ang'ana na u-dj. Kweli huo ni mradi mbaya kiasi hichooo! Mbona kuna viongozi hapa walisikika sana kwa kuuza madawa ktk utawala uliopita na hamuwataji tena. Au madawa ni kazi ya kishujaa? Lukuvi alijibu nini bungeni kuhusu kuwataja wauza madawa?kwahiyo udj ndo basi?
Mshauri alipe. Wizara ya habari ilifurumshwa. Kwa hiyo km wizara ya serikali ilifukuzwa, kwa nn nhc isite kwa mbowe? Sheria ni msumeno.Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.
Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..
Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..
Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???
Hata yeye analipiwa pesa ndefu tuNo one, except DEAD only..!!
nashawishika kuamini kuwa hukuelewa nilicho kiandika.Haijalishi ata kama ingekuwa ni 50,000 sheria ipo pale pale
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
It doesn't matter. Binadamu wote wanapashwa kutendewa sawa. Hatukomoani. Tumuogope Mungu.
Kwani Mbowe ni babako?
nimekuelewa kaka. ahsante.Nikusaidie kitu kidogo..mimi natumia smartphone... Sometimes nakuwa nimeandika sawa lakini herufi inajibadili nikishatuma but Kuna njia ya kuzuia kama kuangalia maneno yanayojiandika Hapa kati kati ya Simu kama unatumia Simu ya Tochi huwezi elewa nina maanisha nini..Lakini ninachoshukuru ni Ujumbe kufika kama nilivyotazamia.Aksante.
Hapo sasa. ...mtu unamwambia ukweli baada ya kukaa na kufikiri na kuwa mzalendo, anakuja na mitusi, ovyo kabisa. Bilicanas ni biashara kubwa inamaanisha muda wote since 1993 ana operate bila kulipa kodi? Jamani hebu tuache masihara. ..huyu mtu anaitakia hii nchi mema kweli? Hebu amkeni mlio LALAMatusi ya nini ndugu kudaiwa ni kudaiwa tu alipe kodi ya serikali,kweli ndio viongozi tuliokuwa wanataka kupewa nchi kweli?????????
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Mkuu sio swala la mkono wa mtu,ni srategies za kazi tu,watu wakitaka kurahisisha kazi zao hupenda kuwatumia watu mashuhuri kama role models,kama watu wanakwepa kulipa kodi ukimbananisha mtu mashuhuri ambae watu wanaamini hawezi kuguswa ni rahisi wengine kujiuliza kama huyu kabonyezwa maana yake hakuna atakayeachwa na watachangamka kulipa tu,na wala usiwapangie waanze na kigogo yupi.Kama wewe una umashuhuri wako uchwara muhimu ni kupita kwenye mistari iliyonyooshwa ili usifanywe role model kwenye mambo ya hovyo hovyo.Watu wa aina yako ndio wale ambao unaona kabisa mtu amekufa kwa kipindu pindu tena kwa taarifa ya daktari lakini badala ya kuweka mkazo kwenye kusafisha mazingira wewe unakomaa kusema kuna mkono wa mtu....watu wataendelea kupukutika kwa kipindupindu.Una habari kwamba serikali yako hiyo hiyo inadaiwa Matrilion...Kwa nini hawalipi.wajabaki hawana deni..kifupi Hapa juu ya jua Hakuna asiyedaiwa.Hapa Kuna mkono wa MTU. halafu hao Watu wa kijani wanavyodaiwa Mbowe cha Mtoto mchanga ila kwa kuwa hujui kitu unaropoka tu Hapa..Hapa ni Kukomoana..kwanza kesi IPO mahakamani miaka Na miaka ..subirini mtaona atakavyolipwa fidia..Na kama hujui hizo Nyumba za NHC sio nyumba za kodi kubwaa kiasi kwamba Bwana mkubwa ashindwe kulipa kwa wakati..Walimwanzishia zengwee ili ashindwe kulipa...Mfano.mzuri ni wa Maduka ya mwanza stendi toka kodi ya Elfu 20 kwa mwezi wakawapandishia Mpaka laki 2 kwa mwezi..So you can imagine how it is..stop judging him wait and see.