Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Bilcanas ya Mbowe inaondolewa vyombo sasa

Mbowe mjanja sana....anafanya siasa za maandamano na matamko ili kuiweka busy serikali ili washindwe kufuatilia ukwepaji wake wa kodi.....

Anawarubuni vijana katika lugha ya huruma kana kwamba anaonewa kumbe ni li fisadi kama yule aliyempokea
Mtazamo wa kiwango cha chini sana huo. Nadhani unao peke yako
 
Hii nchi sasa tumefika kubaya sn,
 
Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.

Yeye nae alikuwa wapi kulipa kodi kila muda ukifika?
Kupatwa kwa Mbowe kumeanza tarehe 1 Sept na kuendelea na 'Mbowe pete 'Hilo litaonekana maeneo ya Posta mpya
 
Huko nyuma walifungwa midomo wasidai hiyo kodi?

Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.


Kwahiyo 'Kutokudaiwa/kutokulipa deni kwa muda mrefu' ndiyo kunafuta deni automatically eeh?!!!

Unafikiri kwa kutumia akili? ama unafikiri kwa kutumia 'supu' kama gigy money?

Huu ulevi wa kisiasa unawafanya watu muwe vihiyo kabisa kushindwa hata kuchanganua mambo madogo.

''Hakika hayo ni mahaba'' ... by Mh Lowasa.

-Kaveli-
 
Acha uongo mkuu!

Hakuna kesi iliyo mahakamani hadi sasa!

Eti chuki ya ukanda, mavi kabisa!! Yaani mtu asilipe kodi stahiki akilazimishwa kulipa mnadai chuki za kikanda?! Mnaakili timamu kweli huko Ufipa!?

Hahahahaha NHC mwenyewe kasema Mbowe ameenda mahakamani.Tukiwa waongo tusisahau tunachokihubiri.Chuki za Ukanda na itikadi ndiyo lugha yetu kwa sasa watanzania
 
Tit for tat...!!

Mbowe sbb ya UKUTA, si anaandamanisha watu... kumbe serikali inamdai, na anaipinga serikali... sasa mm kama unanipinga, na nakudai, hata kama ni NHC but NHC ni serikali, lazima nita react...!!

Mbowe aachane na UKUTA.. la sivyo, ajenge BILLICANAS kwingine..!!

Aaaah. .. Heri nishangilie Manchester United ya UK niachane na mambo ya kisengerema ya hapa Tzzzzz. .... kwan hapa tutalazimishwa kuishabikia ccm na serikali yake very soon
 
mwisho wa siku atashinda kesi na yatamkuta kama ya mwanahalisi.
 
Back
Top Bottom