Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,725
- 3,796
Labla kama ni kodi ya UKUTaKama ushahidi wa kulipa kodi anao adai haki yake
Labla kama ni kodi ya UKUTaKama ushahidi wa kulipa kodi anao adai haki yake
Mwanasheria wa NHC kahojiwa anabaki kujikanyangakanyaga kuhusu hii issue.Wasubiri kuburuzwa mahakani.
Nakubaliana na wewe mkuu, kama ni kweli anadaiwa na serikali basi hana budi kulipa. Lakini kama wanamuonea kwa kumbambikia madeni hewa itakuwa ni uonevu na udhaifu mkubwa kwa upande wa serikali, kwa kuzingatia kwamba Mbowe mbali na kuwa mpinzani wa serikal,i anafanya kazi ya siasa lakini pia ni mtanzania kama walivyo wengine wawekezaji.Mkuu!
Kama mtu kakiuka mikataba yake ya kibiashara na kukwepa kodi ya serikali asiguswe kwa sababu tu ni mwenyekiti wa Chadema?
Kama Mbowe kaonewa si angetupa hoja? Kwa Magufuli ni wazi kwamba hakuna fisadi atakayesalimika
Kwe hayo majengo anadaiwa mbowe peke yake!!!Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.
Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..
Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..
Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???
Kuishi kwa ujanja ujanja tu. Awamu hii ni kuisoma namba tu.
h jamani hata kiswahili nacho ni shida kuandika? sasa maneno mengine hata hatuelewi una maana gani, au ndiyo ulikuwa unaandika kwa jazba?Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.
Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..
Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..
Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???
Watu wa Kijana wanadai wa zaidi
watu wa kijana yupi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] i blv you are joking..Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.
Walikuwa wapi siku zote kumdai. Hapa kuna mchezo wa kutaka kumdhoofisha Mbowe kisiasa lakini watashindwa.
Swali la kujiuliza Mbowe alikuwa anakaa bure kwani ilikuwa Nyumba ya urithi hiyo?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] i blv you are joking..
Time will always be timed..
Walkua wapi sio equation,ishu ni anadaiwa au hadaiwi.
Over..!
Hiyo mikataba ya kibiashara ameikiuka wiki hii? Toka miaka hiyo walikuwa wapi kumfukuza .hapa anafanyiwa fitna kwa kuwa ana nguvu ya kisiasa. Mbowe si mjinga akae bure miaka yote hiyo asilipie pango.
Swali anadaiwa hadaiwi?.. Punguza porojo..Mi nikikukpesha pesa na nikakopesha na watu wengine. Nikija kukudai utasema kwamba "mbona unanidai mimi peke yangu"?Jana Kuna post niliweka nikasema Bilcanas inaondolewa.. Akaja member mmoja akasema ni Ofisi za Gazeti la Tanzania Daima.. Nitakwambia labda hakusikiliza Mpaka mwisho wale Wakaka wa NHC wa kuondoa Mali kwenye majengo ya Watu wanaowadai walidai anadai wa kote Na ni zaidi ya Bilioni 1 Na wakitoka Hapo wanapenda Na huko.
Sasa mnaofatilia issue hii ulizieni Vyombo vinatolewa Na Bilcanas.Nimerudia kuandika Baada ya ule Uzi kuondolewa ikionekana nimeongopa.Na pia Sikuandika kwa Hisia Bali why Mbowe kwa kasi hii Na kwa wakati huu..Ivi Shirika kama NHC Mpaka izo MHL zifikishe 1B walikuwa wapiii..
Na mbona Hata Kuna majengo ya Watu wa Kijana wanadai wa zaidi Na Hata majengo waliokodisha serikali ni wadaiwa sugu tena zaidi ya hayo..Na wamekiri wao wenyewe kwamba wapo wengi Na serikalini ila tunaanza Na Mbowe..
Kama wao ni wazalendo kwa nini wasionyeshe Mfano wa Majengo waliokodisha serikali yanayodaiwa zaidi ili tuone Utendaji wao mzuri???