Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Huo ndio ukweli mchungu ,Jk hakua chaguo la Mkapa ila mtandao ukamtisha ,Mkapa akamsubiria amalize mda wake ,Mkapa na Lowasa wakamtilia kifua Magufuli ,mtandao wote wa mkwere chali
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.

Kukataliwa kwa Lowassa ndio kumemleta Magufuli.
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.
Bila upinzani imara ndani ya CCM, rais angekuwa Lowassa na si Membe.Membe asingefua dafu mbele ya Lowassa ndani ya CCM.
 
ni kweli JPM amshukru sana Lowassa , Nchimbi, Kingunge, Sofia, Adam Kimbisa kwa kujitoa mwaanga kukataa majina ya kwa mfuko.
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.



Umeongea point, Membe angekuwa useless kama wazee wake.
 
naona wengne humu hawelew kwann watu wanasema lowassa kamsaidia magufuli kupata urais ni hiv

timu zilikuwa mbili nazo ni membe na lowassa sasa tano bora alivyoingia membe timu lowassa walikuwa ni weng sana wakapiga kula kwa lengo la kumuangusha membe na juhud zikatimia ndio maana watu wanasema lowassa kasaidia
Sasa ukawa umesaidia nn?
 
ni kweli JPM amshukru sana Lowassa , Nchimbi, Kingunge, Sofia, Adam Kimbisa kwa kujitoa mwaanga kukataa majina ya kwa mfuko.

Ni mpango wa Mungu, Membe kuwapo, lowassa kukatwa, Magufuli kuchaguliwa na hatimaye kuwa rais!
 
upuuzi wa Vasco ungeendelezwa

rejea maneno ya jk kwenye hituba zake,
(1)-NITAFUTUENI MTU ANAEKUBALIKA NA WATU. alisema akiwa kwenye shelehe za kuazimisha miaka ya ccm, hapa hata lowasa hajamuelewa jk maana aliyaludia haya wakati anajitetea aliposema wa wananifuata wenyewe, nitawezaje kuzuia mafuliko kwa mkono! hapa walipoitwa kwenye kamati ya nidhamu ndani ya chama jk aliwaambia nyie tulieni hadi wakati ukifika kachukueni form.UKIANGALIA MTU ALIEKUA ANAKUBALIKA NI JPM MAANA HATA ALIVYOKUA AKISIMAMA BUNGENI AKIANZA KUELEZEA KUHUSU WUZARA YAKE ALIKUA HAPINGWI HATA NA WAPINZANI.Kiasiri na sio kukubalika kwa rushwa.

(2)-MLIOCHUKUA FORM ZA KUWANIA URAIS NI WENGI TENA NI VIGOGO LAKINI NAOMBA TUSIJE KULAUMIANA BAADAE MAANA WENYENIA YA KUWAINGOZA WATZ NI WENGI HATA WAKITOKA UPINZANI SIO DHAMBI.aliyasema kwenye hotuba yake ya mwisho.mambo yake na wenzake waliomtangulia walikua wakiyafanya kwa siri sana, nafkiri walikua wanataka mtuwao asipate matatizo maana wangefanya wazwaz mtu huyu angekua ktkt ya makundimawili yenye nguvu ingekua hatari kwake.

KWENYE MCHAKATO KWENYE KUTAFUTA WAZAMINI.
Wakwnza kutumia hela nyingi ni
(1)EL
(2)MB
(3)MKMBA
Hao wote wakitumia rushwa ni hatari kwa watu wa aina hii kwa wanaotaka uongozi wa nchi.

KWENYE VIKAO.
walianza na bwana mkubwa mwenye kundi kubwa, hapa lengo ni kuwapima watafanyaje kwenye big5.Watu wote walijengwa kisaikolog kua ni MB kama walivyo fikili, lakini mbaya au uzuri bwanamkubwa ingawa alikatwa lakini hakuchoa akaonyesha uhalibifu baada ya baada ya tukio la kubambikiziwa kashfa ya bwana Mmoja kukamatwa na mabegi ya fedha ili zuonekane za bwana MB.wakaonekana kama wote wanapenda ugonvi nae kakatwa mdawake ulipofika.

KWENYE bg3.
tumeona wanawake wawili na jp mwenyewe, hapa bado watu wakaamini MAKAMU atatoka kati yao, lakini hiakua hivyo, akatoka kwingine kabisa, na jk akaanza kuwatambulisha na kuwanwagia sifa kwa kuwapa majina ya kazi tu, kamavile tingatinga.nk.

KWAHIYO ANAESEMA JPM HAKUANDALIWA SIO KWELI, KILICHOFANYIKA KWENYE UCHAGUZI WA MWAKA HUU NI USIRI, LENGO NI KUYABOMOA MAKUNDI NA KUEPUKA WAHUSIKA WASIPATE MADHARA MAANA WANYONGE HAWA WALIKUA KTKT YA MAKUNDI MAWILI YENYE NGUVU KUBWA. NA NDIO MAANA UNAONA HADI SS BADO USIRI UNAENDELEA JINSI YA KUTEUA VIONGOZI WENGINE.
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.


Analysis yangu ni kuwa CCM ingewateua Membe au LOWASA saa hizi CCM kingekuwa chama cha upinzani.
 
sema bila mzee mkapa rais angekuwa membe

saahizi naye angekuwa bize kutalii dunia badala ya kushughulikia matatizo ya watanzania
 
uko sahihi.... Tatizo ni pale wanapotaja ukawa kuwa ndio waliochangia kuteuliwa kwa magufuli kana kwamba lowassa alikuwa mwakilishi wa ukawa ndani ya ccm!

upinzani imara ndani ya ccm
 
Tungeteseka tena kwa miaka mingine 10! kwani huyu angefanya yale yale ya awamu ya 4! Pwani hakufai tena kutoa kiongozi wa Nchi!
 
Back
Top Bottom