Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,170
Reaction score
60,528
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.
 
Wapenzi wa lowassa ndani ya NEC waliamua kuwa chaguo la kikwete (Membe) hawezi penya kwa namna yoyote ile,mpira ukamuangukia JPM!
 
Inawaumiza NA kuwasumbua sasa sisiem wenyewe....
 
kwani magufuli aliteuliwa BAADA ya lowasa kuja chadema au kabla?

Kumbuka hapa inazungumziwa kuvurugika kwa mipango ya system iliyopangwa baada ya UKAWA kumchagua Lowassa... Ni kama wewe umejiandaa kupiga Pepa ya Civics ndani ya exam unakutana na Chemistry lazima ujibackup
 
bila upinzan imara haya yote yasingekua yanafanyika! well said
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.

Kwa hiyo Lowassa asingekuja UKAWA Membe ndio angekua mgombea wa CCM.? Kwa hiyo wangefanya mabadiliko wakati wameshamteua Magufuli tayari!
 
naona wengne humu hawelew kwann watu wanasema lowassa kamsaidia magufuli kupata urais ni hiv

timu zilikuwa mbili nazo ni membe na lowassa sasa tano bora alivyoingia membe timu lowassa walikuwa ni weng sana wakapiga kula kwa lengo la kumuangusha membe na juhud zikatimia ndio maana watu wanasema lowassa kasaidia
 
Lowassa kachochea vugu vugu la mabadiliko mpaka CCM wanaimba nyimbo za UKAWA.
 
naona wengne humu hawelew kwann watu wanasema lowassa kamsaidia magufuli kupata urais ni hiv

timu zilikuwa mbili nazo ni membe na lowassa sasa tano bora alivyoingia membe timu lowassa walikuwa ni weng sana wakapiga kula kwa lengo la kumuangusha membe na juhud zikatimia ndio maana watu wanasema lowassa kasaidia
Uko sahihi.... Tatizo ni pale wanapotaja UKAWA kuwa ndio waliochangia kuteuliwa kwa Magufuli kana kwamba Lowassa alikuwa Mwakilishi wa Ukawa ndani ya ccm!
 
Back
Top Bottom