Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaliza Taifa

Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaliza Taifa

Tatizo kila kitu ni haramu katika nchii,, viongozi wamepata uongozi kwa njia isiyo sahihi
 
Ushauri utolewe watu wote wapimwe, walioathirika waanze kutumia dawa. Wakifubaza wadudu hawataambukiza wengine.
usauri ua una make sense unapotoka kwa muatirika wa janga husika maana anakua na real life experience.
 
Serikali ianze na manufacturer wa BULL condoms maana inaonekana ana ajenda yake ya makusudi kuua watu kwa kutengeneza condom zilizo chini ya viwango vya ubora.
 
sema baki na mke au mume wako.maana hapa hujawa gender sensitive.Inasemekana Wanawake ndiyo wanaoongoza kwa kutouogopa UKIMWI.wanaaume ni waoga balaa.na huwa wana hofu sana wakistukia kuna tabia hatarishi wamefanya
Hao wanaume wanaogopa lakini michepuko hawaiachi kutwa kusarandia, sasa wanaogopa nini!
 
Tiba za asili zipo na zinaua virus japo Wazungu wanaamini Virusi hawafi. Nimeshuhudia watu kadhaa.
Kama dawa za asili mbona watu hawatumii au ndiyo kila mtu anaenda kwa siri siri na kuogopa kutangaza?
 
Mungu atusaidie. Hali sio mzuri Sana. Hawa wanaume ambao bado wanaona ufahari kuwa na msururu wa michepuko. Ni changamoto kubwa Sana.
Halafu wakishakipata wanachotafuta wanatulia kimya , na shida zote anatupiwa mke , Mungu awasaidiye wanawake jamani!
 
Kama dawa za asili mbona watu hawatumii au ndiyo kila mtu anaenda kwa siri siri na kuogopa kutangaza?
Labda kwa vile sera ya CCM imebainisha kutambua na kuthamini tiba asili zitatoka hadharani. Lakini zipo na watu wanapona. Nasema hivyo nimeshuhudia.
 
Na hayo madonge yanasumbua kama una kinga dhaifu utaumwa kila leo uombe uwe na group zuri la damu hapo hutasumbuka maana nina mtu wa karibu hapa kila siku mgonjwa hata sielewi nifanyaje nae
Shida nini mkuu
 
Labda kwa vile sera ya CCM imebainisha kutambua na kuthamini tiba asili zitatoka hadharani. Lakini zipo na watu wanapona. Nasema hivyo nimeshuhudia.
Mungu atusaidie maana familia hizi watu wanaumwa kimya kimya tu jamani!
 
Hata mataga wanaogopa kupima sembuse sisi

Ni yeye Dkt DON NALIMSON 2025.
 
[emoji4]
Screenshot_20201117-115922~2.jpg
 
Dawa ni kula vizuri tu,,
Hata kula vizuri mkuu, dawa zikiisha nguvu tu basi, wenzako mpaka wanabadilishiwa damu, lakini inafikia mahali mwili unachoka hapo hakuna cha dawa wala nini lazima uondoke ghafla bin vuu!

Mungu atusaidie sana mkuu, ukimwi upo na una ua tuchukue tahadhali wandugu!
 
Zile dawa ndio zinaua watu
Dawa zinasaidia sana mkuu,

Ndio maana siku hizi watu hawakondi tena kama zamani, zile dawa zina saidia kufubaza virusi vya ukimwi (H.I.V), Na kupambana na magonjwa nyemelezi, zinasaidia kurefusha maisha yako mkuu, ARV's ni dawa nzuri usiache kutumia mkuu (kama unatumia lakini).
 
Ingekuwa ukimwi una sifa hizo ulizozitaja basi leo hii pasingekuwapo mtu Tanzania hii, ni kwamba huo ugonjwa upo ila watu walishapewa tahadhari kuanzia wazee mpk watoto wadogo wanajua jinsi ya kuepuka so kilichobaki ni nature tu.
Hapana mkuu sidanganyi wala kufurahisha umma, nimeshuhudia hayo niliyoandika, na mpaka muda huu, kuna afisa mmoja wa serikali yuko hoi, kwasababu ya ukimwi. Ninaandika nachokijua mkuu,

Ukimwi upo na una ua tuwe makini siku hizi una ua kimya kimya haupewi tena promo kwenye media kama zamani. Watu wanateketea kimya kimya mkuu. Tuamkeni jamani seriously.
 
Siku akili itakapokuja ndipo mtajua vijana wanaambukizana wao kwa wao kirahisi sana kuliko hao mnaowaita wazee.

Nimeona huko vyuoni mfano,yaani wanaona ni haki yao kufanya chochote na hakuna anayekemea.
Wanazungukana sana na imekuwa ndiyo maisha kama kugongeana sigara.Wakati huo huo hata waliozaliwa na HIV walishakuwa hadi na miaka 30.Huko kote walikopita,wameambukiza watoto wangapi?Hakuna anayesema.Mmebaki kuonesha picha za watu wanene waliovaa mashati ya vitenge kuwa ndiyo mafataki!
Kwa hiyo watoto wanadanganyika na kuwaona wenzao kama malaika wasio na madhara
 
Bila kuvunja ukimya na sasa watu wenye maambukizi kutambulika na kuweka sera madhubuti basi Taifa litaangamia lote.

Jamani ipo shida kubwa sana sana. Watu wanasambaza huu ugonjwa na wengine wana pesa. Wanasambaza kwa vijana na vijana wanasambaziana.

Siri ni kubwa sana na Taifa lina angamia. Vijana wana angamia na wazee pia nani atapona nani atakuwa na uchungu kwa Taifa?

Aisee kuna maeneo naishi kuna mzee ana ngoma na inajulikana lakinia anaingiza mademu gheto hadi hatari. wanawake wanaendekeza sana njaa
 
Back
Top Bottom