kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,744
Watu bwana: Serikali imehangaika wee matangazo, mabango kila sehemu, mahospitalini, kwenye magesti, nk. Lakini ndiyo kwanza kama vile unamwagia petroli kwenye jiko la mkaa.
Aa mwaya wameona wabadilishe kibao.
Siku hizi ni matangazo kwa kwenda mbele: "Afya ya Uzazi wa Mpango"
UKIMWI mtajijua wenyewe!
Aa mwaya wameona wabadilishe kibao.
Siku hizi ni matangazo kwa kwenda mbele: "Afya ya Uzazi wa Mpango"
UKIMWI mtajijua wenyewe!