Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,241
- 4,445
Umejuaje hizi taarifa nyeti Mkuu?? 😂Vifo kama nane vilivyotangazwa humu JF hivi karibuni ,ni kifo kimoja tu wadau hawajakihusisha Na AIDS.
Umejuaje hizi taarifa nyeti Mkuu?? 😂Vifo kama nane vilivyotangazwa humu JF hivi karibuni ,ni kifo kimoja tu wadau hawajakihusisha Na AIDS.
Ukimwi wa sasa unakuua na suti yako fresh tu yaani ki boss boss siyo kama ule wa miaka ya 90 unapandisha kechi & midonda mwili mzima dadeq.Viongozi wa serikali ya .... Wana ukimwi hii naongea Kwa uzoefu na kujionea baada ya kufanya kazi na wabunge na makatibu pamoja na ile ofisi.
Sawa Ila mkifa na ngoma mnasingizia pressure na moyoUkimwi wa sasa unakuua na suti yako fresh tu yaani ki boss boss siyo kama ule wa miaka ya 90 unapandisha kechi & midonda mwili mzima dadeq.
Katika hili sikupingi... Nishawahi shuhudia hilo katika familia kadhaa, kapata mmoja baadae familia nzima. Pia nilikuwa kwenye semina moja daktari mmoja alilieza hilo wakati mwingine inakua kama laana Fulani hivi inayo tembea,,, na madaktari hawajui kwanini... Hadi yule daktari akashauri wakati mwingine hebu tumshirikishe MunguNimeshuhudia ktk nyumba umeuwa kuanzia dada MTU mpaka wadogo zake na ktk ule mtaa ukaanza na waliovamia mji Kwa Kasi. Yaani umepukutisha Mtaa nisiwafiche yaani Inatisha Sana.
Ukimwi bado upo, tuache ngono, tuache michepuko ya nje baki na mke wako uliye muoa, hutopata ukimwi.
Kwa asilimia 99 ukimwi unaambukizwa kwa ngono.
Sawa Ila mkifa na ngoma mnasingizia pressure na moyo
Katika hili sikupingi... Nishawahi shuhudia hilo katika familia kadhaa, kapata mmoja baadae familia nzima. Pia nilikuwa kwenye semina moja daktari mmoja alilieza hilo wakati mwingine inakua kama laana Fulani hivi inayo tembea,,, na madaktari hawajui kwanini... Hadi yule daktari akashauri wakati mwingine hebu tumshirikishe Mungu
Ukipata pesa nyingi abdallah kichwa wazi aka babu juma mda wote anataka ateleze kama kambale kwenye mabwawa tofauti.Nimekuja kugundua kuna wanaume labda wawe maskini maana wakiwa na hela lazima ukimwi uwahusu
Habari kama hiz ndo zinapoteza watu wengi sana. watu wanaacha dawa wanahamia kula mizizi hlf mambo yakibuma wanarudi kwenye arv wanajikuta wamechelewa na wadudu wameshapanda kichwaniTiba za asili zipo na zinaua virus japo Wazungu wanaamini Virusi hawafi. Nimeshuhudia watu kadhaa.
ndugu usiombe ukupate wew, omba sana uusikie kwa jirani tuukimwi tumeuzoea na kuupuza ni kama hautishi tena.
Madam FaizaFixy kama vile uliwahi kusema kwamba kuna mtu hapa Tanzania anaitwa Dr Msigwa Twaybu kuwa anatibu maambukizi ya H.I.V?Viongozi wa serikali ya .... Wana ukimwi hii naongea Kwa uzoefu na kujionea baada ya kufanya kazi na wabunge na makatibu pamoja na ile ofisi.
Tumegee siri mkuu, au waliwafanyia assassination kimya kimya?True je wajuwa walichokifanya