Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaliza Taifa

Bila kuvunja ukimya, UKIMWI utalimaliza Taifa

Tambua Mungu hadhihakiwi ndugu. Utapata jibu la dhihaka yako kwa Mungu.
Dhiahaka ipo wapi hapo mkuu ? Ni kweli kama taifa likamlingana Mungu na kujinyekeza.. Mungu akiamua anaweza kuluiondoa. Kama alivyokuwa akiondoa magonjwa mengine kwa watu wake
 
UKIMWI bado upo???.Kama upo basi hautishi,na wala si tishio kama zamani.Jamii inaishi nao hauna madhara,kampeni kali kama za zamani zimeachwa,maambukizi yanachukuliwa poa tu.Wanaojua zaidi madhara ya UKIMWI ni kile kizazi kilichoona mwanzo UKIMWI ulivyopukutisha watu.Kizazi hiki hakijui hayo,kinaona UKIMWI kama ugonjwa wa kawaida tu kama mengine yasiyopewa kipaumbele
 
Bila kuvunja ukimya na sasa watu wenye maambukizi kutambulika na kuweka sera madhubuti basi Taifa lita angamia lote.

Jamani ipo shida kubwa sana sana. Watu wanasambaza huu ugonjwa na wengine wana pesa. Wanasambaza kwa vijana na vijana wanasambaziana.

Siri ni kubwa sana na Taifa lina angamia. Vijana wana angamia na wazee pia nani atapona nani atakuwa na uchungu kwa Taifa?
Jifunze kuwa msiri
 
"....siwezi kula pipi na maganda yake......"

hii kauli ya kishujaa ndio inawamaliza watu,bila kusahau ule ufundi wa vijana wa siku hizi wa kunyonyana makojoleo.
 
Ukimwi ni biashara, ukimwi ni ajira, ukimwi ni kitega uchumi, ukimwi ni elimu, ukimwi ni kodi ya nyumba ukimwi ni bata.
UKIMWI NI MFUMO WA MAISHA. UKIMWI NI BARGAINING CHIP.
Dah! nmecheka kama mazuri
 
Bila kuvunja ukimya na sasa watu wenye maambukizi kutambulika na kuweka sera madhubuti basi Taifa lita angamia lote.

Jamani ipo shida kubwa sana sana. Watu wanasambaza huu ugonjwa na wengine wana pesa. Wanasambaza kwa vijana na vijana wanasambaziana.

Siri ni kubwa sana na Taifa lina angamia. Vijana wana angamia na wazee pia nani atapona nani atakuwa na uchungu kwa Taifa?
Mkiona funding kwenye Vi-NGO vyenu inapungua basi mnalianzisha tena, tuacheni bhana aagh
 
Mim Binafsi hii Ishu ya Ukimwi naiweka kundi moja na Covid pmj na Ebola..

Kuna kitu hapa...

Uzuri JPM hakutaka Tuumie.. akakengeuka kuhusu COVID-19.. leo tunaishi vizuri. Na najua kbs atakuwa anajua nini kipo nyuma ya Ukimwi.. sijawahi kumsikia akiongelea kuhusu Ukimwi.. anajua nin kipo nyuma ya Pazia.

Hao TacAids wanatoa statistics kuwalidhisha Mabeberu after kuulizwa kwa pesa za Covid-19..na wao wamekurupuka kutoa Statistics wasiulizwe na Wamarekani kuhusu Pesa za USAID.

Kitu kilichopo Nyuma ya UKIMWI ndio hicho Kipo nyuma ya Covid-19..

Tujitafakari
 
Ili ukimwi upungue tanzania kwa kiasi kikubwa ni kukata misaada ya ARV.
Na kuondoa kinga zote za kufanyia kitu kinachosababisha ukimwi.
Then unatangaza taifa zima kwamba hakuna dawa za kufubaza virus wala kinga.

Watu wengi wataondoka lakini hiyo ndiyo solution sababu huwezi kucontrol maamuzi ya mtu ila fear of death ndio itayo mcontrol hasa vijana chini ya 21.
Wanaojiuza wote wapewe kazi za kufanya au wawe executed.
Wanunuaji ni lazima uwe executed.

Wafe kwa mkupuo au wafe taratibu huku wakiua wengine.

Najua hiyo haiwezekani sababu lazima usababishe catastrophe na hasara kubwa kwa taifa pia inasound kama ukatili au evil plan.
pia watu wa haki za binadamu watajitokeza labda kwa sababu wanatetea binadamu au wanatetea biashara zao na chumi zao.
binafsi siwezi kufanya kitu kama hicho.


Solution ambayo ni bora ni malezi bora kwa vijana wa sasa ambao ndio next generation.
Pia kubadilisha education system.
kuondoa umasikini.
Kutengeneza mazingira bora na miondombinu bora ya kuishi binadamu.
Kuwekeza kwenye technology na elimu ya vitendo zaidi ili tupate vitu vyetu wenyewe kwenye kila kitu.
Kuweka sheria kali kwa wanawake na wanaume juu ya ngono pia kwa watu chini ya miaka 18. Hapa hakuna kuexecute mtu.
Hii itaondoa mawazo na mindest za kijinga za ngono.

Pia watu kutengeneza ajira kwa wingi sababu kukosa kazi za kufanya na umasikini inapelekea kuwaza ngono tu.
Pia sidhani kama kila mtu akiwa na pesa na uchumi mzuri hasa wanawake hawatokubali kununuliwa au kujiuza.
Hapo utakuwa umepunguza asilimia kubwa ya kuongezeka kwa ukimwi.

Then baada ya 20 years kutakuwa na kizazi bora kabisa ukimwi utakuwepo lakini sio kwa asilimia kubwa.
 
Back
Top Bottom