=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

wanaovaa makoti meupe wote sio madokta,

Wengine ni wauza nyama.

Ff mzee kama anamiaka thelasini ktk ndoa na kama aliolewa na miaka20 inamana ana miaka50.

Ushauri😛unguza majungu na ulee wajukuu zako.

Napokea ushauri lakini "majungu" si sifa yangu. Tena hao wajukuu ndio wananifanya unione kwa sana hapa JF, ingekuwa si wao ningekuwa nachanja mbuga tu. Unanshangaza!
 
hahahahha...thnx kwa kunianzishia cku yangu kwa kicheko, hawa wamekaa kwenye ndoa mpaka wamefanana sasa khaa! cjui natamani na mie nifikie huko cjui hata, FF hongera sana.....yaani hii mikiki mikiki cjui mmeiwezaje jamani, hebu tupe kauzoefu.

Ahsante sana.

Jinsi tunavyokua ndio tunavyozidi kustahamiliana wala si kitu kikubwa sana, wala si uhodari ni majaaliwa ya Mungu, nimeshaona watu wakiachana kwa madogo sana uki-compare na tuliyoyapitia sisi katika muda huu wote. It takes two to tango, it wasn't always flowing milk and honey we had our bitter moments but we overcame them by a simple rule; You have to be supernumerary (extra) considerate to "the" partner of your life more than in yourself and do not expect it back in return. Simple!
 
Sikutegemea kama faizafoxy ni mkubwa kiasi hicho-
anyway-hongera kwa kuweza kustahimili vishindo vya ndoa-hii inanipa moyo kuwa on the other side-you are a good mum,keep it up

Ahsante sana Edward Teller, vishindo vipo vingi tu, lakini AlhamdulilLlah, akuleteae vishindo hukupa na nguvu ya kuvihimili. I was a good mum once, my kids do not need their mum anymore, I now need them. Time being, I am trying to be a good grandma now, but you know what? I spoil this wajukuu badly or so their mums think!
 
sasa ashadii mbona unajipongeza mwenyewe halafu tena unajisahau mara utumie ****Fox na badae AshaNgedere?

Hii kali mie naona wewe ndio unajipiga mateke mwenyewe! Unanchekesha!
 
<br />
<br />

Kayalambe ya mama ako.
Nani asiyejua maana ya Lmao??
Tena kalicheke tundu la mama yako.

Wee, mbona unakosa adabu kila mara? AshaDii kakukosa nini? au hujui maana ya Lmao? ADii kaonesha uchangamfu wake kwa uliyoyaandika, hata hilo nalo kosa? Nikisema "mtotowamagwanda" ni hivyo, Jee, magwanda wenyewe? mtasema FF kaanza. Usinrushe handas.
 
FF nimecheka mpaka nikashindwa kumalizia posts....eti Gozi limelala nimelichosha... I bet there isnt such a thing as a boring moment in your house!

I hate suprises....mmh lkini yako nimeipenda!!!

Hongera sana na Mwenyezi Mungu azidi kuwabarki!
 
hahahahaha...mie nimesoma mara mbili mbili nikijua Asha kakosea, duu, c mchezo aisee, inahitaji moyo kweli kweli....khaaa....hizi ndoa za cku hizi cjui kama 2tafika huko aisee, unaju nilidhaniaga huyu ni sister duu fulani hivi...damn!

Sister Duu la uhakika. Unanchekesha, bado jamani sijazeeka, its just 30 Years of being married!
 
aaaiiseee... kumbe it was good ulichelewa... I am four years old... of coz was married at 18 for two years.... hii ni second...

I was married when I was 17, just when I completed my O level, lucky enough my Gozi had to go back abroad (he just came for wedding and 2 weeks later he was gone) it gave me enough time to go on with my studies, wasn't he considerate? It was the hardest two years of my life, "upupu" mtindo mmoja. Lol.
 
Notes nachukua zako dada..sidhani kama nitapata mke kama FF kwa kweli (no pun intended!)..naomba Mungu anipe mke mpole na mwelewa kama wewe...hata miaka mia tutadunda tu!!!

Umechelewa jamvini, karamu imeshaliwa!

Nakuombea kila la kheri umpate mtakae stahamiliana. Remember "It takes Two to Tango".
 
FaizaFoxy is a one bad mama jamma. She is officially my JF favorite person and I am her number one stan. She so reminds me of Mwafrika wa Kike. Happy everything FaizaFoxy. You are the bestest.

Nyani Ngabu, siku yangu ya kulia ilikuwa jana, usinianzishe tena tafadhali, I've noticed and you make feel so proud. Thanks a million my man!
 
mtm, if u promise this, i will keep this dude for only 30 yrs, and when i get this pearl i will evaluate the next prize b4 i drop him, hahaha!
jokes aside, ff shkamoo auntie! hongera manake kumbe wengi humu wanao eeh... inabidi tuanzishe kale ka-group utupe huu ujuzi,taaluma ya 30th annivessary karibu itakua historia. siku hizi 5 yrs ni ver very big achievement,lol!
<br />
<br />

Marhaba King'asti, ahsante sana kwa maneno matamu ya kumtoa nyoka pangoni. You make my day. Mwenyeezi Mungu akubarik.

Tutalianzisha tu, wakikataa JF nawafungulia kesi ya ubaguzi wa kijensia, sasa wataamua wakiweke k button kinachosema "Jukwaa la wanawake" au tukabimbirishane kwenye kesi za kikatiba! Duhh, it will not reach to that extent, we will win. Halafu wasiombee, maswahiba zangu sasa hivi kibao pale, kuanzia kubwa lao Brother C mpaka Dk. F.
 
nampa hongera sana FF ... namtakia kial la heri katika maisha yake ya ndoa ... enzi za kina FF kulikuwa hakuna mambo ya kitchen party ona ndoa zinavyodumu lakini sikuhizi tuna hadi bag party! BIG UP FF


hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
1477bcd715fe21-Happy-30th-Anniversary.jpg

Ahsante sana, wala hujakosea, enzi zetu hamna cha kitchen party, tulikuwa tuna "somo", it was a one to one darsa la nguvu, ukitoka hapo kama hujayajua hutayajua tena!
 
Back
Top Bottom