=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

Swali zuri... sina hakika, But najua atatujuza...

Na ni kweli the type of lady she is... hata mimi napenda nijue the husband...

ADii, Tell Faiza Foxy I say hi, and wish her good health and long life. May God bless her wherever she may be.
Faiza Foxy, I know you don't like my avatar, but I like you!!
 
ADii, Tell Faiza Foxy I say hi, and wish her good health and long life. May God bless her wherever she may be.
Faiza Foxy, I know you don't like my avatar, but I like you!!


Delivered!! Raj it is only fair you know umenichekesha... Thanks...

BTW What is wrong with the Avatar? Sio yule GT??
 
Big up FF, ndio kwanza nina umri wa miaka 22, sijafikiria hata kuoa, lakini punguza ukauzu.. unasomeka vibaya

Thanks, but shika adabu yako kuniita kauzu mtu ambae naweza kuwa kama mamayako 4 X over. Fanya heshima japo kidogo.

So far nimepitia posts nyingi katika hii nyuzi lakini hata wale ambao tunabishana, kupingana, kushupaliana na kutokuelewana kabisa na kuitana majina ya kiajabu-ajabu kwenye majukwaa mengine wamekuwa so good to me kwenye hii nyuzi, wakaniletea feelings ambazo zimekuwa highly emotional, I was not that strange creature any more. Haa! hata hao wote basi hujaona mfano? Unanshangaza!
 
Miaka thelathini !!!! Hongera sana? Ndiyo maana mda mwingi yupo humu Jamvini maana alikwisha jistaafia siku nyingi sasa kwasasa anajipumzikia kwa kutumia mda mwingi Jf.

Umeona eehhh! Ahsante sana.
 
Nashangaa hiyo 30yrz kaifikisha vp! Huyo mume wake ana kazi sana!!!
Anyway... Hongera!

Wala usishangae, kazi alikuwa nayo zamani, the first 10 years, I was wild!, the second 10 I was mild somehow, Now I am tamed. Age matters. Unanchekesha!

Ahsante sana.
 
Mi sijaona kitu bado zaidi ya kutetea magamba nadhani hata wewe unatoa hongera ni mlengo wa magambas. anyway siku zenu zinahesabika za kuitwa chama cha upinzani ka si kufa kabisa.
 
Mi sijaona kitu bado zaidi ya kutetea magamba nadhani hata wewe unatoa hongera ni mlengo wa magambas. anyway siku zenu zinahesabika za kuitwa chama cha upinzani ka si kufa kabisa.


Sign of Victory - R. Kelly
 
My kids where giving me hard time here, thank God they've gone out with their friends and Gozi is gone to sleep, now I'll try to answer as many posts possible.

ADii (just saw it) so much better. Thanks for standing up for me.
 
My kids where giving me hard time here, thank God they've gone out with their friends and Gozi is gone to sleep, now I'll try to answer as many posts possible.

ADii (just saw it) so much better. Thanks for standing up for me.


Nilipoona ile post ya jana knew the reason behind your absence... hebu leo maliza dear...lol

And you are my twin... standing up for you is inevitable...
 
Hongera sana FF, thirty years is such an achievement and I am sure with your character utakua umekwepa mishale mingi sana maana waswahili huwa hatuwezi kuvumilia lazima kuna makonzi mawili matatu ulikula ili kukukumbusha wajibu<br />
<br />
I love that you have reached 30 year, adn i wish i would have gotten married earlier, coz i would have been i the range<br />
<br />
Nevertheless, I still want you (for moon's sake)<br />
<br />
seriously, MMe wa Faiza anahitaji Nobel Prize.....
<br />
<br />
Makonzi zamani, mwanzo mwanzo, akinila konzi na mie namrudishia mpaka kachoka na mie nikachoka. Sasa tena wakati wa kulea vijukuu.

He deserves more than a Noble, to be with me for more than thirty years (30 Years + 2 days) yataka moyo. I was so wild but no more.
 
This is what I have to say;

Today wasn't a surprise to me. The surprise was in a form I could never have imagined, Gozi, my Gozi knew what would be a surprise for me, he planned and a good plan indeed it was. A surprise plan, I never love surprises and he knows it. This is how surprised I was:
  • My Boys, two of them are here now, they were here even before I knew it! The were here two days back, my boys, one lives in Canada and one lives in Scotland (studies in Scotland).
  • My Daughters, one lives in Oman (married), one lives in Detroit (married), are all here and I never knew it.
They planned with their Dad to be here without letting me know. Can you believe it? I couldn't!

My Gozi, took my phone last night and switched it off! reason? its our cerebration and he needs all the attention (that was his reason). It wasn't true. The true reason was, he knew one of my boys (my first born) living in Canada, would call me and ruin the surprise. he was not worried of all the others, they are all Dad's.

Early morning my Gozi goes out, as norm, an hour later, knock, knock, knock (not normal at all), I open the door and my last born (the tallest) is face to face with me! while still trying to figure out if I was awake or still asleep, the rest of them show up giggling, the were just behind him!

Imagine my reaction! was I dreaming? No! please God, its not a dream. Indeed it wasn't a dream. Their Dad appears, smiling foolishly, as when he is guilty of mischief, didn't want to embarrass him in-front of the bunch.

What would you call it? Surprise, surprise, surprise.

The other surprise was when I was given my phone back and I happened to just sneak-pick on what goes on at JF, wasn't I surprised to see this thread? No. I was not surprised to see the thread because AshaDii told me way back she will wright something on my 30th anniversary. The surprise was how beautiful she wrote it, short, articulate and to the point. The response her thread got, was even a bigger surprise.

The least I can say, Thank you all. I wish I would have time to answer all the posts.

I cried and cried and cried, first for reuniting with my loved ones and 2nd for seeing those whom I spent most of my time recently arguing with, flirting with, agree on some points with others and some who dared to even make friends with me, of course its you peoples, my unseen friends, the family which was there when I needed it most, my virtual family and friends who kept me busy and out of misery when my children and my Gozi weren't around. I can not explain it better. I love you all.

Nawaomba niliowaudhi mnisameh sana, niliowakosea msinichukie kwa kukosana tu kwa maandishi yetu hapa JF.

Leo nimeamini kuwa sote ni kitu kimoja, ni binaadam tunaopendana bila kujali itikadi zetu za kidini, kisiasa, kijamii. Mmenifanya nilie sana, kwani hata aliyeniponda, alijitahid anisifu. Nawashkuru na nnawapenda wote.

Shukrani zangu za dhati ziende kwa pacha wangu AshaDii, kwa nyuzi nzuri ambayo sikutegemea. Wengine wote ntawajibu post zenu, kila mmoja ki vyake.

Gozi limelala, nimelichokesha, nililiambia 30 iwe 30 ki ukweli. Loohhh, akajitahid ikawa mbili na nusu! bado ana deni la 27 na nusu!

:rapture:
 
Forgive me nikikosea..but did u mean ni effects za menopause!??
Na yeye kuitetea ccm kunatokana na experience yake ya zamani!??

Well,
Mama FF (maana hata mimi huu umri sijafikisha kweli) hongera sana kwa miaka yote hiyo ndani ya ndoa..si jambo la kuchukulia for granted...ni la kumshukuru Mungu sana!
Mbarikiwe sana..na nawatakia maisha mema na marefu zaidi!
HAPPY ANNIVERSARY!!!


Ahsante sana.

AlhamduLlillah, namshukuru saana kwa kutufikisha hapa tulipo, si kwa uhodari wetu bali ni kwa shani yake. Na kila mmoja wetu amjaalie kila jema alifikirialo.
 
Back
Top Bottom