Yaani kama i was married mara ya kwanza maybe two years...
Alafu saizi maybe nina four years of marriage... naweza jumlisha?? lol
Ili tu nipate ile zawadi, na 30th ann ifike haraka....
duh, jamani, kumbe FF ni mama yangu kabisa na wala sio dada yangu kama ambavyo nimekuwa nikimuita siku zote!
30 yrs in mariage ni zaidi ya umri wangu! hongera mama, hongera sana mama FF, Mungu awajalie na baba maisha marefu na yenye baraka zaidi. naamini ni mmoja wa watu ambao JF inajivunia kwa kuleta changamoto na katika ku-balance opinions. najivuna kuwa na mama strong, creative and active tena katika mambo wanayokimbia wengine kama siasa. kama alivyosema Ashadii, tutafurahi kupata siri ya mafanikio yako, wengine bado kuingia humo ulimoishi wewe kwa miongo mitatu bila kupungukiwa kicheko, tabasamu, amani ya moyo, mahaba, wala mkate. tungependa kujifunza kwako na kuliinua jina la Bwana kupitia maisha yako.
hongera sana na Mungu akubariki pamoja na mwenzio. awajalaie maisha marefu yaliyopitiliza, muone hadi vitukuu vya vitukuu na pamoja daiama hadi kifo kitakapowatenganisha
Hell no. lol. Ile zawadi (Pearl) ni special kwa 30 years anniversary.
Unless ukiunganisha inafika 30 years, I am afraid you won't get a Pearl.
Ulicheki Gaga mwenyewe aliambulia furniture for her 17 years in marriage.
If you're married for 2 years and now you're married again for 4 years total ni 6 years, then your present will be Iron, Sugar or a wood object.
Will give you 2 kilos of sugar. lol
Miss Judith... Yaani mshangao wako ndio ulikua wangu wakati nimejua... I thot she is lying na i had to PM her nijue ukweli, But then akadhihirisha kabisa na kusema mwezi huu tarehe ya leo (28th/07) anatimiza 30 years.... i was/still genuinely impressed... Napenda saana watu wanaothamini ndoa zao... na najua kua she has many critics ambao hii infor itawasaidia kuelewa a bunch of issues about her...(kwa wale wenye utafakari lakini....). I admire her ingawa nimengi we don't agree on... and mengi we agree on... na kweli kabisa I am proud of her success... in fact she is way over older than i am... for mamangu mwenyewe ni very early 50s... And she (FF) is a really great person if you get to know her....
Kumbe ni mdada!!!! Hongera sana,mie miaka 3 tu tumeshachokana.
Hongera sana FF, thirty years is such an achievement and I am sure with your character utakua umekwepa mishale mingi sana maana waswahili huwa hatuwezi kuvumilia lazima kuna makonzi mawili matatu ulikula ili kukukumbusha wajibu
I love that you have reached 30 year, adn i wish i would have gotten married earlier, coz i would have been i the range
Nevertheless, I still want you (for moon's sake)
seriously, MMe wa Faiza anahitaji Nobel Prize.....
Forgive me nikikosea..but did u mean ni effects za menopause!??
Na yeye kuitetea ccm kunatokana na experience yake ya zamani!??
Well,
Mama FF (maana hata mimi huu umri sijafikisha kweli) hongera sana kwa miaka yote hiyo ndani ya ndoa..si jambo la kuchukulia for granted...ni la kumshukuru Mungu sana!
Mbarikiwe sana..na nawatakia maisha mema na marefu zaidi!
HAPPY ANNIVERSARY!!!
sasa ashadii mbona unajipongeza mwenyewe halafu tena unajisahau mara utumie ****Fox na badae AshaNgedere?It is beautiful.... I Love it!!!