=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=

Wasiwasi wangu sasa,FF will never be the same again,hii thread imeleta bondage CONSQUENCES zake ni FF atachukua a middle of the road approach katika thread na posting zake-i think we have seen the last of the all conquering,snarling bulldog type FF-if it so happens it will be sad
 


Faiza Foxy... a Complicated, Strong, Highly opinionated, Abundantly knowledged,
Controversial, Impressive, Resilient (as per MTM) Lady at JF if any....

It seems you are not only aggressive at JF - BUT at life it self and Success in
Marriage institution as a whole... THUS 30 Years of it!!!

Ni wanawake wachache mno... mno... tunaweza tunza ndoa zetu na kufikisha
umri mkubwa... Kufikisha 30 years of your marriage today na gozi
lako hilo hilo unastahili Pongezi Dear.....
Hongera saaana.

:A S-rose:.....HAPPY 30TH ANNIVERSARY DEAR...:A S-rose:

P.S. Naombe ushee siri ya mafanikio ya kuweza fika hapo....


Kwa miaka hiyo Faiza ni bibi yangu kabisa.

Hongera sana kwa kula chumvi mingi
 
Hii miaka 30 kwa wanaume wangapi? maana sie ndio zetu kila mfungo waweza kuwa unaolewa na uanachika baada ya mfungo.
accumulation ya miaka 30 kwa wanaume wangapi dear?
Niswali tu.

Hahahahaha dah si mchezo ndo maana wengine hatupendi kuulizia back ground unaweza zimia
 
ooops miaka 30 ya ndoa??
hongera sana dada na mshangao pia ..
 
FF nadhani baada safari iliyojaa milima na mabonde, mapapa na manyangumi, na karaha za kila aina ndogo na kubwa sasa bahari imetulia ukiondoa rabsha ndogo ndogo za hapa na pale na safari ikiendelea kwa raha na mustarehe. Nakutakia kila la heri afya njema na baraka telena baraka ili uweze kusherehekea miaka mingine 30.

Ombi langu kwako kwanza uache kumuita gozi pili uache kuitetea CCM hata pale ambapo haistahili kufanya hivyo. Kuikosoa CCM inapovurunda siyo dhambi bali wengi tunafanya hivyo kwa kuitakia mema nchi yetu na watu wake. Hivyo kuanzia sasa ni RUKHSA kuikosoa CCM kila inapovurunda. Kila la heri na baraka na pia nakutakia Ramadhani njema.


 
Last edited by a moderator:
May be a question to AshaDii, some time back members here in JF were accusing you that you are also FF and you denied that. How come you know that FF is married for 30 years!!?? Are you two friends or what?
 
May be a question to AshaDii, some time back members here in JF were accusing you that you are also FF and you denied that. How come you know that FF is married for 30 years!!?? Are you two friends or what?

daaaah Limbani!
 
May be a question to AshaDii, some time back members here in JF were accusing you that you are also FF and you denied that. How come you know that FF is married for 30 years!!?? Are you two friends or what?
Yaani bado una mashaka na hilo? wewe hujiulizi ni kwa nini FF hajachangia hii thread wakati anakesha kwenye keyboard 24/7? THINK BIG.
 


Faiza Foxy... a Complicated, Strong, Highly opinionated, Abundantly knowledged,
Controversial, Impressive, Resilient (as per MTM) Lady at JF if any....

It seems you are not only aggressive at JF - BUT at life it self and Success in
Marriage institution as a whole... THUS 30 Years of it!!!

Ni wanawake wachache mno... mno... tunaweza tunza ndoa zetu na kufikisha
umri mkubwa... Kufikisha 30 years of your marriage today na gozi
lako hilo hilo unastahili Pongezi Dear.....
Hongera saaana.

:A S-rose:.....HAPPY 30TH ANNIVERSARY DEAR...:A S-rose:

P.S. Naombe ushee siri ya mafanikio ya kuweza fika hapo....


Mbona speed yake ya utetezi wa uozo wa chama cha magamba (kwa njia ya mipasho) umepungua siku hizi? Hawatoi posho tena? Any she is on my ignore list!!!

Tiba
 
FF ndio aliyepost hii thread, yaani wewe ukongwe wote hapa JF bado unakuwa mgeni?

Matola naomba tu ujuwe kua katika kundi la GT la assumption zangu nahisi uko la tatu... labda prove me wrong...

https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/153532-ashadii-to-jf-members.html


Yaani bado una mashaka na hilo? wewe hujiulizi ni kwa nini FF hajachangia hii thread wakati anakesha kwenye keyboard 24/7? THINK BIG.


Kweli THINK BIG ni relative term na zimezidiana from one person to anoter...

Yaani nguvu yako yooote ya Conclusion from the blue tu ??

aaaaiiiseee.........:disapointed:
 
May be a question to AshaDii, some time back members here in JF were accusing you that you are also FF and you denied that. How come you know that FF is married for 30 years!!?? Are you two friends or what?


Limbani sometimes it is good kama uko curious na kitu kifanyie kazi...
Ungesoma this whole thread (sikulaumu ni ndefu...) ungepata majibu
ya maswali yako.. However....

How come you know that FF is married for 30 years!!?? (Jibu lipo post # 86 & 146)

Are you two friends or what? (Yes... Hii ID confusion na constant allegations imefanya tuwe karibu)
 
Mbona speed yake ya utetezi wa uozo wa chama cha magamba (kwa njia ya mipasho) umepungua siku hizi? Hawatoi posho tena? Any she is on my ignore list!!!

Tiba


I see....
 
Limbani sometimes it is good kama uko curious na kitu kifanyie kazi...
Ungesoma this whole thread (sikulaumu ni ndefu...) ungepata majibu
ya maswali yako.. However....

How come you know that FF is married for 30 years!!?? (Jibu lipo post # 86 & 146)

Are you two friends or what? (Yes... Hii ID confusion na constant allegations imefanya tuwe karibu)

Sometimes tunakuwa wavivu wa kushughulisha ubongo wetu, nashukuru kwa kuondoa my curiousity!!
 
This is what I have to say;

Today wasn't a surprise to me. The surprise was in a form I could never have imagined, Gozi, my Gozi knew what would be a surprise for me, he planned and a good plan indeed it was. A surprise plan, I never love surprises and he knows it. This is how surprised I was:
  • My Boys, two of them are here now, they were here even before I knew it! The were here two days back, my boys, one lives in Canada and one lives in Scotland (studies in Scotland).
  • My Daughters, one lives in Oman (married), one lives in Detroit (married), are all here and I never knew it.
They planned with their Dad to be here without letting me know. Can you believe it? I couldn't!

My Gozi, took my phone last night and switched it off! reason? its our cerebration and he needs all the attention (that was his reason). It wasn't true. The true reason was, he knew one of my boys (my first born) living in Canada, would call me and ruin the surprise. he was not worried of all the others, they are all Dad's.

Early morning my Gozi goes out, as norm, an hour later, knock, knock, knock (not normal at all), I open the door and my last born (the tallest) is face to face with me! while still trying to figure out if I was awake or still asleep, the rest of them show up giggling, the were just behind him!

Imagine my reaction! was I dreaming? No! please God, its not a dream. Indeed it wasn't a dream. Their Dad appears, smiling foolishly, as when he is guilty of mischief, didn't want to embarrass him in-front of the bunch.

What would you call it? Surprise, surprise, surprise.

The other surprise was when I was given my phone back and I happened to just sneak-pick on what goes on at JF, wasn't I surprised to see this thread? No. I was not surprised to see the thread because AshaDii told me way back she will wright something on my 30th anniversary. The surprise was how beautiful she wrote it, short, articulate and to the point. The response her thread got, was even a bigger surprise.

The least I can say, Thank you all. I wish I would have time to answer all the posts.

I cried and cried and cried, first for reuniting with my loved ones and 2nd for seeing those whom I spent most of my time recently arguing with, flirting with, agree on some points with others and some who dared to even make friends with me, of course its you peoples, my unseen friends, the family which was there when I needed it most, my virtual family and friends who kept me busy and out of misery when my children and my Gozi weren't around. I can not explain it better. I love you all.

Nawaomba niliowaudhi mnisameh sana, niliowakosea msinichukie kwa kukosana tu kwa maandishi yetu hapa JF.

Leo nimeamini kuwa sote ni kitu kimoja, ni binaadam tunaopendana bila kujali itikadi zetu za kidini, kisiasa, kijamii. Mmenifanya nilie sana, kwani hata aliyeniponda, alijitahid anisifu. Nawashkuru na nnawapenda wote.

Shukrani zangu za dhati ziende kwa pacha wangu AshaDii, kwa nyuzi nzuri ambayo sikutegemea. Wengine wote ntawajibu post zenu, kila mmoja ki vyake.

Gozi limelala, nimelichokesha, nililiambia 30 iwe 30 ki ukweli. Loohhh, akajitahid ikawa mbili na nusu! bado ana deni la 27 na nusu!

Natamani nilifahamu hilo Gozi, yupo JF?
 
Back
Top Bottom