FREE LUNCH
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 495
- 334
Unaandika haya ukiwa kwako bila kujua Mwananyamala iko wapi na wala bila kujisumbua kufika eneo husika ili kubainisha uongo wangu wa story za kusadikika...
Ndio hawa sawa na kina Prof. Roper & Hegel (Wamagharibi) waliokuwa wanasema Afrika haina mabadiliko, wala haina historia ilihali hawajawahi kukanyaga ardhi ya afrika.
Ni vizuri kupinga kwa ushahidi.