Bibi Tina wa Mwananyamala

Bibi Tina wa Mwananyamala

Bibi atakuwa kishavuta tu hamna namna...maana kama mama whit ndo alikuwa mwanae wa mwisho kufa itakuwa alijitoa yeye mwenyewe aiss
 
Kaka mshana mwananyamala hapafai niliwah kukaa nyumba moja 2002 ile nyumba ilikuwa na vituko balaa kwanza baada ya kuhamia kuna mtu aliniambia nimejiamini ni mpk nimepanga pale halafu unaambiwa yule mama ndio mtaalam mumewe anatumwa tu na siku nahama sikumwambia ila wakati gari imekuja kunihamisha nikiwa ndani aliniambia gari imekuja
 
Nyumba hiyo, mwenye nyumba na wapangaji wote wababe!
 
Mkuu kumbe ushakutana na mengi aisee..
Ila huyo bibi sura tu inakujulisha kuwa ni mpulizaji huyo!!


Nasubiri muendelezo....
 
Back
Top Bottom