Vipi Jumapili ulienda kumsalimia bibi Tina?
Mmk ukisikia chronic ndio haoMkuu Mshana jr hapa mtaani wanga wanatusumbua sana nimejaribu kuweka bangi sebuleni na chumbani kwangu dirishani na mlangoni, kupaka kitunguu swaum na mafuta ya mzeituni kwa kitanda changu ila wapi, ni tabu na masumbuko tu.
Je ni utaalamu gani ama vitu gani nichanganye ili wasinisumbue tena?
Mmk ukisikia chronic ndio hao
Padre alikuwa hamuoni?Kuna kibibi kilikuwa kijija kanisani J2 hostia anaitemea kwenye khanga baada ya kupokea. Kumbe alikuwa ana tengenezea hirizi
Mshana, ukifungulia radio usiku kucha wanga /walozi hawakusumbui watajua watu wanaongea.Hao wanga pengine nyumba unayoishi ndio mapito ama kilinge chao
Kwahiyo wanga wanaweza geuza nyumba yamtu conference hall Sasa mtaishije hapoHao wanga pengine nyumba unayoishi ndio mapito ama kilinge chao