Na wewe ulikua unamadudu mnashindanaHayo Mambo yalinikimbiza dar na kurudi kijijini kwetu,Miaka hile dar ilikua kivumbi kwenye nyumba za kupanga.
Unafanya matusi halafu huogi
Sir Mshana sijaona muendelezo wa stori,ipo wapi?Alimuita demu wangu mvaa pedi![]()
![]()
![]()
![]()
Janaba ndo nini mzee?Ndio... Ila sasa kama mwanamke mwenyewe ana KIMAVI utaisoma number
Kuruka na ungo angani umesahauUngewatia vitasa. Hivi uchawi una faida gani?
Eti mshana jnr kwani wachawi wanafaidika nini na uchawi wao. Kuua watoto wao, kutembea usiku....huwa wanapata nini, na je ni kwa nini huwa hawaachi?




Mh! Hebu tiririka kidogo na hawa wajamaica.mshana jr katika kutembea kaka nimegundua wajamaica ni wachawi Africa tunasingiziwa
Mh! Aisee. Hii dunia kweli ni kubwaHicho kipande chote mpaka Haiti ni noma