Hahha aisee hatari, mi sijawahi ona kabisa hivi vitu maishani zaidi ya kusikia tu.
Nishawahi kufanya kazi mahali , secretary alikuwa mama mmoja wa kihindi mkorofi sana, yaani tulikuwa tunamnyenyekea kama ye ndo Boss. Kwa ujumla hagusiki, kuna watu kama wa3 hivi walikubaliana wamuendee kwa mtaalamu, walipofika mtaalamu baada ya kupiga tunguli zake aliwajibu, huyu mama muacheni tu maana shughuli yake nzito.... kama 2011 niliondoka ile ofisi ila hadi leo nasikia yule mama yupo, watu wanaondoka wanamuacha, ni rafiki wa maboss wote!