Ungewatia vitasa. Hivi uchawi una faida gani?Hahahaaa mshana umenikumbusha maisha yangu Kibo,.
Siku hiyo nikasema mie mti mkavu auchimbwi dawa
Mama mwenye nyumba na mwanae walinichukia mpaka kesho.
Nilikua nakuta wamechoma mshumaa mlangoni au usiku naona mambo live.
Wakanitimua pale.![]()
Yaani mimi ni siku moja tu nduki! Sidhani kama naweza kuvumilia vitimbi vyote hivi!Halafu nimeelezea kwa kifupi sana kulikuwa na matukio mengi ya kushangaza sana. Kwa mfano chooni... Yeye alikuwa na choo na bafu lake na wapangaji vya kwao... Choo chake na bafu lake ni kufuli 24/7
Vyoo vyote na mabafu vilikuwa kwa juu kidogo yani kwenda huko ilikuwa lazima upande kama ngazi tatu... Siku moja asubuhi nimetoka kuoga namkuta bibi kwenye ngazi na dish la maji kajifunga kanga chini ya matiti kainama anaoga. . yani ilibidi nimsubiri
Hawafaidiki na lolote basi tu.. Ni sawa na madawa ya kulevya.. Kutoka ni shida japo mtu anatamani kutokaUngewatia vitasa. Hivi uchawi una faida gani?
Eti mshana jnr kwani wachawi wanafaidika nini na uchawi wao. Kuua watoto wao, kutembea usiku....huwa wanapata nini, na je ni kwa nini huwa hawaachi?
Alafu hajasema waliyamaliza vipi,,,nina wasiwasi mshana jr walimalizana kama bibi tina alivyokua anafanya kwa evarist lakini hii akawa livemi kaniacha hoi kuwa alimdaka halafu wakayamaliza, halafu hizo pilikapilika mzee mzima ahami anatengua tu makombora
Mmmh simjui pale namjua baba nyanju,kwenye shule ya malaika upande wa piliKaribu na makaburi unakopita umeme mkubwa kwa jamaa anaitwa koshuma
Nilikua chembamba enzi hizo hata nguvu za kutia mtu vitasa sina.Ungewatia vitasa. Hivi uchawi una faida gani?
Eti mshana jnr kwani wachawi wanafaidika nini na uchawi wao. Kuua watoto wao, kutembea usiku....huwa wanapata nini, na je ni kwa nini huwa hawaachi?
Naomba kujua ina maana ukichoma UDI mchawi anateseka?..Mkojo wa janaba ndio ule mkojo ukitoka chapa dem ule unaofata au ukichapa usiku usiende oga lala ile asubuhi ndio mkojo huo!?..Mchawi hata Panga anaogopa kumbe!?.Nikamwambia ni sawa ila kesho yake nikamtest kwa kuchoma UDI chumbani kwangu jioni... Hata kabla UDI haujafika nusu aliingia sebuleni mpaka mlango wa chumbani macho yamemtoka pima.. Akasema nyumba yake haichomwi UDI na kama napenda basi yuko tayari kurudisha kodi.....
Baada ya hilo tukio wapangaji wakaniambia tena bibi huwa na tabia ya kuweka kibakuli kidogo cha alminium kwenye dirisha langu chumbani kwa nje kila jioni na kukiondoa kila asubuhi... Nilipogundua ni kweli nilikimwagia mkojo wa janaba na ikawa ndio mwisho wa kukiona pale kile kibakuli
Siku moja usiku wa kuanzia saa tatu pale kwenye kibaraza chake kukawa na maandalizi yasiyoeleweka..
Nilinyanyua panga na kupiga ukutani kibapabapa.. Nilirudia mara tatu kisha nikasikia kimya kabisa..
bila kusahau kigogo yote wanga watupuKaka mshana mwananyamala hapafai niliwah kukaa nyumba moja 2002 ile nyumba ilikuwa na vituko balaa kwanza baada ya kuhamia kuna mtu aliniambia nimejiamini ni mpk nimepanga pale halafu unaambiwa yule mama ndio mtaalam mumewe anatumwa tu na siku nahama sikumwambia ila wakati gari imekuja kunihamisha nikiwa ndani aliniambia gari imekuja
UDI unaalika nguvu nyingine za kiroho, mchawi hapendi,..., mkojo wa janaba ni uchafu unakinzana na nguvu za kichawi.. Mkojo wa janaba ni ule mkojo baada ya kufanya ngono.... Panga ukilipiga kwa ubapa ukutani linatoa sauti kubwa.. Wao kilichowastua ni sautiNaomba kujua ina maana ukichoma UDI mchawi anateseka?..Mkojo wa janaba ndio ule mkojo ukitoka chapa dem ule unaofata au ukichapa usiku usiende oga lala ile asubuhi ndio mkojo huo!?..Mchawi hata Panga anaogopa kumbe!?.
Kutokuamini kwako hakufanyi wasikurogeNajua uchawi upo ila sijawahi kuuamini. Na naupuuza kabisa
Karibu na makaburi unakopita umeme mkubwa kwa jamaa anaitwa koshuma