miss kitongoji
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 662
- 625
He makubwa kumbe uchawi upo
Wewe umeamka au ndo unarudi na ungo? Mimi limeshindwa kuruka.He makubwa kumbe uchawi upo
Waumini walimuonaPadre alikuwa hamuoni?
Hivi wewe hulali? Mimi huku saa 10 macho mtu alikuwa anaenda airport we acha tu.
Umekutana na vodoo? Ila wanachanganya na rosali hapo ndo nachoka.mshana jr katika kutembea kaka nimegundua wajamaica ni wachawi Africa tunasingiziwa
Mjibu sky Eclat.![]()
![]()
ndio naamka dada
Kuna dada alinipa story jinsi mchepuko alivyomvuruga kaka yao mpka amemsahau mke na watoto wake. Aliniambia yeye na mama yake wanatafuta mtaalamu wa kupindua dawa za mchepuko nilichokaUmekutana na vodoo? Ila wanachanganya na rosali hapo ndo nachoka.
Uko Haiti unakwenda kwa mganga na picha ya unaemtaka. Inawekwa kwenye bakuli la maji na maneno yanaanza, unaitwa mpaka unafika sasabunaulizwa shida yako kwakeHicho kipande chote mpaka Haiti ni noma
Utalalaje saa hii![]()
![]()
ndio naamka dada
Hiyo kali.Kuna dada alinipa story jinsi mchepuko alivyomvuruga kaka yao mpka amemsahau mke na watoto wake. Aliniambia yeye na mama yake wanatafuta mtaalamu wa kupindua dawa za mchepuko nilichoka
Ukimwi hautaisha si ajabu alikuwa anamegwa pekupekuNiliwahi kupanga Temeke, nilipohama ndio nikagundua kuwa yule mama mwenye nyumba nilikuwa nammega kisela, sema alinifanyia michezo nikawa nammega bila mi mwenyewe kujua. Uchawi upo jamani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()