Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
We jamaa kwa uchawi hufai
Kwa hiyo hii stori ulihifadhi kichwani au kwenye maandishi
Kwa hiyo hii stori ulihifadhi kichwani au kwenye maandishi








una rangi nyeusiBibi tina awamu ya pili inasubiriwa... Mkojo wa janaba ndio upi?
Mkuu Saint Ivuga, Naamini uchawi upo. Yakikukuta utaamini. I experienced such a phenomenon.Najua uchawi upo ila sijawahi kuuamini. Na naupuuza kabisa
Naamini upo.Mkuu Saint Ivuga, Naamini uchawi upo. Yakikukuta utaamini. I experienced such a phenomenon.
Ni kweli ukiyaendekeza lakini kuna time unaweza kuwa uko umerelax kabisa, ghafla unakutana nayo. Mpaka uanze kuakumbuka verse za vitabu viTakatifu...Naamini upo.
Ila nina uhakika hayawezi kunikuta. Mamabo mengine ukiyaendekeza nayo yatakuandama sana
Mkojo wa janaba ni nini?Nyoo..! Nitajibu maswali yote nikimaliza
Ok sio mkojo mkubwa. Ila ni mkojo wa kawaida baada ya tendo ila kabla hujaoga??Unafanya matusi halafu huogi
Endelea basi au unatafuta kwanza mkojo wa janaba tena?Nyumba ilikuwa njia ya kwenda mahakamani na inategemea na unamfahamu nanii
NdioOk sio mkojo mkubwa. Ila ni mkojo wa kawaida baada ya tendo ila kabla hujaoga??
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app