siku ya kwanza mpaka ya saba unawapa OTC 20%, SIKU YA 14 NEW CASTLE,SIKU YA 21 GUMBORO,SIKU YA 35 NDUI,UTARATIBU HUU UTAKUWA UNAURUDIA KILA BAADA YA MIEZI 3 KASORO CHANJO YA NDUI TU.


Wakuu mwaka 2018 naona ni mwaka wa Baraka kwangu kwa macho ya rohoni.. Maana mwaka 2017 nilijaribu kufuga kuku wachache kwa majaribio kwa kiasi flan nikajua nini nifanye.. Lakini nilikumbwa na changamoto hizi zifuatazo..

1.ugonjwa WA ndui kwa vifaranga.hapa vifaranga sijajua nitumie dawa gani ili wasipate zile ndui ama vijipu flani machoni

2.namna ya kuchanganya vyakula vya kuku kulingana na umri... Yan formula sina kwa vifaranga na kuku wakubwa

3.namna ya kuvilea vifaranga mara baada tuu ya kutotolewa na Mama yao.. Maana vilikufa vifaranga zaidi ya 80 kwa mpigo kuna kitu nkajifunza.. (I) kutochanganya vifaranga wenye umri tofauti maana wanang'atana (II) dawa maalumu ya ndui naomba nijue

MALENGO
1.nimepanga nifuge kuku 100 tetea wenye umri sawa na jogoo 10 WAKUBWA (mbegu bora)... Tatzo lipo kwenye aina ya kuku wa kufuga wanao kua haraka na kutaga sanaa vile vile wenye umbo kubwaa

2.nivune kuku wangu 2018 kipindi cha mwaka mpya na Christmas maana nime assume tetea 100 kila mmoja ata totoa vifaranga 10+ hvyo wakitotoa wote ntakua na kuku 1000.. Hili nimelifanyia jaribio nimeona kabisa naweza maana kuku mmoja aliweza totoa hadi vifaranga 13

3.kuuza mayai, mbolea ya kuku,

4.kununua incubator baada ya mavuno ya kuku

5.kufungua kiwanda cha kuuza vyakula vya kuku pamoja na madawa ya kuku baada ya kupata uzoefu...maana na assume baada ya muda ntakua nauza vifaranga maana ntakua na incubator hvyo Wateja wangu hao wananiungisha hvyo vyakula na madawa..

NAONA MAFANIKIO MAKUBWA MBELE YANGU LAKINI CHANGAMOTO YA VIFARANGA INANIPA SHIDA NAOMBA SHULE...

Dawa niliokua natumia kwa kuku wakuba ilikua
1.newcastle
2.gomboro
Kama kuna dawa nyingine naomba nieleweshwe...

NIMEDHAMIRIA NA NAWEZA FANYA
nawasilisha kwenu wakuu ushauri napokea
 
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
Kazi ufugaji kuku yahitaji moyo, kwa ujumla kitu cha msingi katika ufagaji wa kuku ni:-
1.Usafi wa banda lako au maeneo wanayoishi.
2.Kinga na tiba ya magonjwa mbalimbali, jitahidi usiruhu kifo cha kifaranga kitokee na kikitokea chukua tahadhari ya kuwatibu mapema vifaranga vyako
3.Lishe kwa kuwapatia vyakula vilivyoshauriwa kwa kila umri na kama unajitengenezea ufaute uwiano wa kitaalam
Mwisho kuna nyuzi nyingi za ufugaji humu upitie, na hapo chini nimekupatia jarida la Mwongozo wa Ufugaji wa kuku wa kienyeji ukipenda ulisome kwa makini litakusaidia katika mafanikio yako ya 2018,
 
Kazi ufugaji kuku yahitaji moyo, kwa ujumla kitu cha msingi katika ufagaji wa kuku ni:-
1.Usafi wa banda lako au maeneo wanayoishi.
2.Kinga na tiba ya magonjwa mbalimbali, jitahidi usiruhu kifo cha kifaranga kitokee na kikitokea chukua tahadhari ya kuwatibu mapema vifaranga vyako
3.Lishe kwa kuwapatia vyakula vilivyoshauriwa kwa kila umri na kama unajitengenezea ufaute uwiano wa kitaalam
Mwisho kuna nyuzi nyingi za ufugaji humu upitie, na hapo chini nimekupatia jarida la Mwongozo wa Ufugaji wa kuku wa kienyeji ukipenda ulisome kwa makini litakusaidia katika mafanikio yako ya 2018,
Naona mtandao hauko vizuri nita upload muda sio mrefu
 
Jarida hiyo hapo chini
 

Attachments

  • MWONGOZO+WA+UFUGAJI+BORA+WA+KUKU+WA+ASILI.pdf
    6.4 MB · Views: 143
Walipotaga waliatamia 2 tu na wakawalea wao, mwingine akabaki na jogoo sikuwa hata na banda kubwa, wakakua 30 mara 3, nikawa na kuku 90 ndo nikajenga banda, ilichukua muda mrefu lakini, niliuza majogoo nikabakisha 5 jike 50, ndo nikaanza kufuga kibiashara, Sasa hivi natotolesha mara 1 kwa miezi 2, muda mwingi nauza mayai, kwa kweli nilianza kikawaida sana bila gharama kubwa, huu mwaka wa 5 sasa
Juju walk hawafi mkuu?
 
Nimevitiwa sana mimi mwaka jana nikuwa nafuga hawa wa mitandao koroiler wanaitwa. Nilisoota sana wanamagonjwa kila kukicha, wanakula kaa wanahama, hayana habari na kutamia. Nikawauza december, nikaanza kununua pure kienyeji waswahili wanaita chep4ere wanapedwa sana kwa biashara niligundua nilipofika soko la chogo handeni nikiwa mgeni kabisa mji huu na koroiler wangu kuuza. Hapa wachuuzi toka dar ni makumi wengi mno. Nilipata wakati mgumu kwani wengi waliwaita wa kisasa na kusema nyama yao sii nzuri ka ya kienyeji. Wenye vichepere waliuza vyote hadi alipoingia mkenge tajiri mmoja wa sheli akinuwia kufuga akanunua kwa jumla bei sawa na pungufu kidogo kwa kienyeji.

Niliporudi kazi ilikuwa kutafuta chepere hadi february nilikuwa na mitetea 80 mwezi wa sita wakaanza kutaga, wasaba mwishoni nikaanza kuwaatamisha hadi niandikapo nina vifaranga wa umri tofauti 412. Nimejifunza kuku wa kienyeji ni encubator tosha, ni ngumu kuugua, garama za chakula ni ndogo sana na soko ni kubwa lao mno. Fuga kienyeji hata ukikosa hela ya chakula hujiokotea wenyewe wakisubiri upata haya mengine utaumia.
Hao vichepere unawapataje?
 
9bd76268ddabce9f404f5230ae38a3d3.jpg
kuku wa kienyeji nnao fuga

27e576583cd2580ede38168e1df930e8.jpg
huyu kuku wa jirani yangu inasemekana hawa huwaga hawatamii navifanga hawalalii kwasababu ni wazito hvyi vifaranga hufa

98b4b458bd0890ab9ceb3729fd2a8aee.jpg
kuku wa kienyeji
 
Wakuu mwaka 2018 naona ni mwaka wa Baraka kwangu kwa macho ya rohoni.. Maana mwaka 2017 nilijaribu kufuga kuku wachache kwa majaribio kwa kiasi flan nikajua nini nifanye.. Lakini nilikumbwa na changamoto hizi zifuatazo..

1.ugonjwa WA ndui kwa vifaranga.hapa vifaranga sijajua nitumie dawa gani ili wasipate zile ndui ama vijipu flani machoni

2.namna ya kuchanganya vyakula vya kuku kulingana na umri... Yan formula sina kwa vifaranga na kuku wakubwa

3.namna ya kuvilea vifaranga mara baada tuu ya kutotolewa na Mama yao.. Maana vilikufa vifaranga zaidi ya 80 kwa mpigo kuna kitu nkajifunza.. (I) kutochanganya vifaranga wenye umri tofauti maana wanang'atana (II) dawa maalumu ya ndui naomba nijue

MALENGO
1.nimepanga nifuge kuku 100 tetea wenye umri sawa na jogoo 10 WAKUBWA (mbegu bora)... Tatzo lipo kwenye aina ya kuku wa kufuga wanao kua haraka na kutaga sanaa vile vile wenye umbo kubwaa

2.nivune kuku wangu 2018 kipindi cha mwaka mpya na Christmas maana nime assume tetea 100 kila mmoja ata totoa vifaranga 10+ hvyo wakitotoa wote ntakua na kuku 1000.. Hili nimelifanyia jaribio nimeona kabisa naweza maana kuku mmoja aliweza totoa hadi vifaranga 13

3.kuuza mayai, mbolea ya kuku,

4.kununua incubator baada ya mavuno ya kuku

5.kufungua kiwanda cha kuuza vyakula vya kuku pamoja na madawa ya kuku baada ya kupata uzoefu...maana na assume baada ya muda ntakua nauza vifaranga maana ntakua na incubator hvyo Wateja wangu hao wananiungisha hvyo vyakula na madawa..

NAONA MAFANIKIO MAKUBWA MBELE YANGU LAKINI CHANGAMOTO YA VIFARANGA INANIPA SHIDA NAOMBA SHULE...

Dawa niliokua natumia kwa kuku wakuba ilikua
1.newcastle
2.gomboro
Kama kuna dawa nyingine naomba nieleweshwe...

NIMEDHAMIRIA NA NAWEZA FANYA
nawasilisha kwenu wakuu ushauri napokea
Upo mkoa gani boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom