Shukrani kwa mtoa mada pamoja na wachangiaji wote. Binafsi pia niko kwene mchakato wa biashara ya namna hii, tatizo ni kwamba sijafanya utafiti wa kutosha juu ya soko, zaidi location, nimekuwa nikifikilia zaidi Dar au Mwanza ambako kote nina makazi, hata hivyo mpaka hivi sasa bado sijapata uamuzi wa wapi pa kwenda na lini kwani upatikanaji wa taarifa/market research umekuwa unasumbua na kunitatanisha kwa namna fulani.
Sehemu ya plan zangu ni kuwa na mass printing including posters, tayari nina baadhi ya commercial/heaavy duty equipments ie design jet printer, printer for tshirts, caps, pens tea cups and plates, stickers etc, pia nina printer ya kutengeneza plastic IDs zisizo na chip lakini pia kuna uwezekano wa kupata yenye chip iwapo nitakuwa na uhakika wa kupata wateja kwani hili kidogo linahitaji kuwa na kitu kama contaract hivi na office au shule ambapo pia itabidi niwe na either help desk au nawatembelea mara kwa mara as it need software to do it.
Kwa haya machache nitashukuru kama nitapata maelezo mawili matatu kutoka kwenu wana JF, Natanguliza shukrani.
Sehemu ya plan zangu ni kuwa na mass printing including posters, tayari nina baadhi ya commercial/heaavy duty equipments ie design jet printer, printer for tshirts, caps, pens tea cups and plates, stickers etc, pia nina printer ya kutengeneza plastic IDs zisizo na chip lakini pia kuna uwezekano wa kupata yenye chip iwapo nitakuwa na uhakika wa kupata wateja kwani hili kidogo linahitaji kuwa na kitu kama contaract hivi na office au shule ambapo pia itabidi niwe na either help desk au nawatembelea mara kwa mara as it need software to do it.
Kwa haya machache nitashukuru kama nitapata maelezo mawili matatu kutoka kwenu wana JF, Natanguliza shukrani.